ubeberu
- 
                                    
                                    Mwakilishi wa Kiongozi wa Kidini katika Taasisi ya Mashujaa:
"Tutaendeleza vita dhidi ya ubeberu hadi bendera ya haki itakapoinuliwa juu"
Sheikh Hujjatul-Islam wal-Muslimin Musavi Muqaddam, Mwakilishi wa Kiongozi wa Kidini (Waliyyul-Faqih) katika Taasisi ya Mashujaa na Masuala ya Wapiganaji wa Kiislamu, amesema kuwa: "Tuna malengo makubwa, na kwa ajili ya kuyafikia tutaendelea kujitahidi na kusimama imara. Tutaendeleza vita dhidi ya ubeberu hadi pale bendera ya haki itakapoinuliwa na thamani za kibinadamu zitakapohifadhiwa."
 - 
                                    
                                    Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
 - 
                                    
                                    Mwenyekiti wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
Kila siku huko Gaza ni Apocalypse (Zama za Mwisho / Mwsiho wa Dunia) / Ukimya wa watawala wa Kiarabu unatia uchungu zaidi kuliko uhalifu (jinai)
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amesema: "Tukio chungu zaidi si tukio la uhalifu unaofanyika dhidi ya Gaza, bali ni kile kimya kinachojiri katika Kasri za watawala wa Kiislamu na Kiarabu." Lugha zilizokuwa zikizungumza kutetea Uislamu sasa hivi zinalamba nyayo za madola ya kibeberu.