ubelgiji
-
Bendera ya “Ya Hussein” Yaibuka Juu Uwanjani Los Angeles Wakati wa Mechi ya Iran na Ubelgiji
Wakati wa mechi ya Kombe la Dunia kati ya Iran na Ubelgiji iliyofanyika katika uwanja wa Los Angeles, mashabiki walishuhudia tukio la kipekee ambapo bendera kubwa iliyoandikwa “Ya Hussain” iliinuliwa juu kwenye jukwaa la watazamaji, ikionesha mchanganyiko wa imani ya kidini na burudani ya soka. Mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya bila kufungana (0–0).
-
Rais Mstaafu Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Aendelea Kuitangaza Tanzania Katika Ajenda ya Elimu Duniani Kupitia Global Partnership for Education
Ushiriki wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete katika majukwaa haya ya kimataifa unaonesha kwa vitendo dhamira yake endelevu ya kuitetea elimu kama nguzo kuu ya maendeleo ya binadamu, sambamba na kuendeleza diplomasia ya elimu kwa manufaa ya mataifa duniani, hususan Afrika.
-
utolewa Kazi kwa Mwalimu Muislamu Ubelgiji Kwa Sababu ya “Ufundishaji wa Kifundamentalisti”
Mwalimu mmoja Muislamu nchini Ubelgiji ameondolewa kazini kutokana na kile ambacho mamlaka yalichoona kama ishara za ufundishaji wa kifundamentalisti.
-
Wimbi la Kukatisha Ushirikiano wa Vyuo Vikuu Duniani na Israel
Chuo Kikuu cha Amsterdam kimefuta mpango wa kubadilishana wanafunzi na Chuo Kikuu cha Kiebrania cha Yerusalemu, huku Jumuiya ya Ulaya ya Wanaanthropolojia wa Kijamii ikitangaza marufuku ya aina yoyote ya ushirikiano na Israel.