udhalimu
-
Chanzo: Tovuti Rasmi ya Ofisi ya Ayatollah Makarim Shirazi | Je, Sheria ya Mtume (s.a.w.w) Inaruhusu Kuuawa kwa Imam Hussein (a.s)?
Kwa mujibu wa Aya ya "Tathira" (Qur’an, Ahzab: 33), Ahlul-Bayt (a.s), akiwemo Imam Hussein(as), wamesafishwa (wametakaswa) na Mwenyezi Mungu dhidi ya dhambi. Hivyo, haiwezekani Imam kuwa chanzo cha fitina au kuvunja umoja.
-
Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"
Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.
-
Iran imeapa kutoa jibu "kali" ikiwa itawekewa tena vikwazo vya Magharibi kupitia Umoja wa Mataifa
Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) Behrouz Kamalvandi anasema kuhusu nchi za Magharibi: Iran imezionya nchi za Magharibi dhidi ya kichochezi cha "kidhalimu" cha "kuwekea kwa mara nyingine tena" vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa, akisema kwamba Iran itatoa jibu kali la kutisha.