Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuangamiza kikundi cha watu sita kutoka makundi ya waasi na wanaotaka kujitenga baada ya kuingia nchini kwa lengo la kutekeleza vitendo vya hujuma na ugaidi katika maeneo ya kaskazini magharibi mwa Iran.
Gavana wa eneo la Darfur, magharibi mwa Sudan, ameelezea mashambulizi ya hivi karibuni ya vikosi vya Haraka vya Majibu dhidi ya mji wa Al-Fashir, makao makuu ya jimbo la Darfur Kaskazini, kuwa “yanakaribia kiwango cha mauaji ya kimbari.”