wabunge
-
Mkuu wa Polisi wa Iran Awaarifu Bunge Kuhusu Juhudi za Kudumisha Amani na Utulivu Nchini
Katika taarifa yake amewaeleza wabunge hatua na juhudi zinazochukuliwa na vyombo vya usalama na utekelezaji wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa nchini.
-
Harakati za Kuundwa kwa Mkoa wa Basra Zarejea kwa Nguvu / Mji Mkuu wa Uchumi wa Iraq Wadai Kuwa Mkoa Huru
Harakati za kisiasa na za wananchi katika mkoa wa Basra, kusini mwa Iraq, za kuubadili mkoa huo kutoka kitengo cha kiutawala na kuwa mkoa huru (Iqleem) zimeanza tena kwa nguvu, huku Baraza la Mkoa wa Basra likianza kuchukua hatua rasmi za kuidhinisha mpango huo.
-
Waandamanaji London wakemea kuhusika kwa nchi za Magharibi katika vita vya Sudan
Waandamanaji walibeba mabango na kuziba baadhi ya barabara wakitaka hatua za haraka za kimataifa kuchukuliwa. Baadaye maandamano hayo yalizingira mgahawa wa OWO, ambapo baadhi ya wabunge wa Uingereza waliripotiwa kuwa na kikao, kabla ya kumalizika kwa amani kufuatia kuwasili kwa Polisi.
-
(Radi amali) Mwitikio wa Maduro kwa Kupelekwa kwa Manowari za Marekani Venezuela
Rais wa Venezuela ameikosoa hatua ya Marekani ya kupeleka manowari tatu za kivita karibu na pwani ya nchi yake, akitaja kitendo hicho kuwa ni “uvamizi wa kigaidi wa kijeshi, usio halali na kinyume cha sheria.”