wafungwa
-
Video ya Kifo cha Mfungwa Mweusi Marekani Yafichua Matumizi ya Nguvu Kupita Kiasi na Walinzi wa Gereza
Mahakama ya jimbo la Connecticut nchini Marekani imetoa video inayoonyesha jinsi mfungwa Mmarekani mwenye asili ya Afrika, J'Allen Jones, alivyofariki baada ya kudhibitiwa kwa nguvu na walinzi wa gereza, jambo lililozua maswali mapya kuhusu ukatili ndani ya magereza ya Marekani.
-
Ushambulizi wa wanajeshi wa Israeli dhidi ya nyumba za waliokuwa mateka waliotolewa huru katika Ukingo wa Magharibi
Vikosi vya kikoloni vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi usiku wa jana na asubuhi ya leo, na kufanya ukaguzi wa nyumba za baadhi ya waliokuwa mateka waliotolewa huru.
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Wale waliotekeleza uhalifu huko Ghaza wanapaswa kufikishwa mbele ya Mahakama
Msemaji wa serikali, huku akionyesha unga mkono kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza, alisisitiza kuwa: kusitishwa kwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Ghaza si mwisho wa safari, na wale waliotekeleza na waliyoamuru uhalifu huu wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama za kimataifa.
-
Taarifa za Hivi Punde:
Kuhusu Kuachiwa kwa Wafungwa Maarufu wa Kipalestina / Hatma ya Mwili wa Shahidi Yahya Sinwar Katika Mkataba wa Kusitisha Mapigano
Sambamba na makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Harakati ya Mapambano ya Kipalestina (Muqawama) na utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza, vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti tetesi na tafsiri tofauti kuhusu masharti ya makubaliano hayo na namna yatakavyotekelezwa.