wakimbizi
-
UNRWA: Israeli inaua Wapalestina 100 kila siku katika Ukanda wa Gaza
Msemaji wa Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) alisema kwamba Israeli inaua Wapalestina 100 kila siku katika Ukanda wa Gaza.
-
Watu 55 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Mmoja wa walionusurika, Malam Bukar, alisema: "Walivamia kijiji wakipiga mayowe na kuanza kuwashambulia watu kiholela. Tuliporudi asubuhi, miili ya watu ilikuwa imetapakaa kila mahali."
-
Ujerumani Yapokea Kundi la Kwanza la Wakimbizi wa Kiafghan Baada ya Miaka Mitatu ya Kusubiri
Baada ya miezi kadhaa ya kusubiri na shinikizo kutoka kwa mahakama, Ujerumani hatimaye imepokea kundi la kwanza la wakimbizi wa Afghanistan waliokimbia utawala wa Taliban.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Afghanistan na Iran wamekutana na kufanya mazungumzo Mjini Tehran
Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Afghanistan, ambaye yuko Iran kwa ajili ya kushiriki katika Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran, amekutana na Sayyid. Araghchi na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa pande mbili, masuala ya kiusalama, hali ya wakimbizi na haki ya maji ya Iran.