wameuawa
-
Shambulio dhidi ya Maadhimisho ya Hanukkah Sydney;
Matokeo ya Miaka Miwili ya Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wanawake na Watoto Gaza na Uwezekano wa Kujijeruhi kwa Wazayuni!
Gazeti la Sydney Morning Herald lilithibitisha kuwa katika tukio hili watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa, huku idadi kubwa ya washiriki wa sherehe hizo wakikimbilia maeneo tofauti na kujificha.
-
Mtaalamu wa masuala ya Lebanon katika Mahojiano na ABNA:
Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi / Zaidi ya Makamanda 400 wa Hizbullah wameuawa na Israel
Dkt. Ajarloo, mtaalamu wa masuala ya Lebanon, alisema: Inaonekana kuwa uwezo wa Hizbullah, licha ya kupata madhara makubwa, katika baadhi ya nyanja unaendelea kuimarika. Kwa sababu hiyo, hatua na tathmini za Israel pamoja na uwezekano wa kutokea kwa vita vinaashiria kwamba Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi.
-
Kuuawa na kujeruhiwa kwa Waislamu 5 wa Kishia nchini Pakistan katika shambulio la kundi la kitakfiri la Sipah-e-Sahaba
Waislamu wawili wa Kishia wameuawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jiji la Karachi, Pakistan.