Wall Street Journal yaripoti kuwa Iran ina takribani makombora 2,000 ya balistiki pamoja na mishale ya cruise na drones, yenye uwezo wa kusababisha hasara kubwa kwa maslahi ya Marekani na washirika wake katika Asia Magharibi, huku uwepo wa wanajeshi 40,000 wa Marekani ukiongeza changamoto za kiusalama.
Tukio la kuhujumiwa na kudhalilishwa Qur’an Tukufu huko Stockholm, pamoja na mlolongo wa matusi na dharau zilizotokea Ulaya na Marekani, linafichua uhalisia ambao ndani yake chuki dhidi ya Uislamu imegeuzwa kuwa chombo cha kisiasa mikononi mwa mikondo ya mrengo wa kulia uliokithiri na washirika wao wa Kizayuni.