Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa baada ya kuuwawa kwa watu wengine 58 kutokana na mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni, idadi ya jumla ya mashahidi imefikia 62,122.
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Lebanon wamefanya maandamano na mikutano ya hadhara kupinga uamuzi wa serikali wa kuhodhi na kuvunja silaha za vikosi vya Muqawama.
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.