18 Machi 2025 - 15:56
Video | Usomaji wa Tawashih ya (Asma -ul- Husna) kwenye Staha ya Meli ya Kivita ya Iran

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna - Kikundi cha Tawashih kiitwacho: Muhammad Rasulullah (s.a.w.w) kimefanya tukio la Usomaji wa Tawashih ya "Asma -ul- Husna" kwenye sitaha ya Meli za kivita za Dana na Rudaki za Iran.

Your Comment

You are replying to: .
captcha