18 Machi 2025 - 15:56
News ID: 1543448
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna - Kikundi cha Tawashih kiitwacho: Muhammad Rasulullah (s.a.w.w) kimefanya tukio la Usomaji wa Tawashih ya "Asma -ul- Husna" kwenye sitaha ya Meli za kivita za Dana na Rudaki za Iran.
Your Comment