18 Novemba 2025 - 21:02
Mtindo wa Maisha | Ushauri / Wasia wa Kutoa Chakula Kuwalisha Watu

“Iwapo nyinyi mmekula na hamuhitaji, basi kuna watu wanaohitaji. Wapeni wao haya matunda badala ya kuyapoteza".

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Vijana kadhaa walikuwa wakila matunda, lakini wengi wao walikuwa hawaamalizi na walikuwa wakiyarusha pembeni yakiwa bado hayajaliwa kwa kukamilika. Imam Ridha (a.s) akawaambia: “Iwapo nyinyi mmekula na hamuhitaji, basi kuna watu wanaohitaji. Wapeni wao haya matunda badala ya kuyapoteza.”

(Al-Mahasin - Al-Barqi, uk. 441) 

Mtindo wa Maisha | Ushauri / Wasia wa Kutoa Chakula Kuwalisha Watu

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha