Vijana
-
Mtindo wa Maisha | Ushauri / Wasia wa Kutoa Chakula Kuwalisha Watu
“Iwapo nyinyi mmekula na hamuhitaji, basi kuna watu wanaohitaji. Wapeni wao haya matunda badala ya kuyapoteza".
-
Shukrani za Ayatollah Nouri Hamadani kwa jitihada za Ofisi ya Vikundi vya Misikiti katika shughuli za Qur’an / Ihitaji uwepo mkubwa zaidi wa vijana katika Misikiti.
Kiongozi wa kiitikadi wa Mashia alisema kuwa: ‘Msikiti usio na vijana hauwezi kustawi, na uwepo wa vijana katika misikiti ni wa thamani sana.’ Alisisitiza: ‘Ninashukuru na kupongeza jitihada za Vikundi vya Utamaduni na Sanaa vya Misikiti katika shughuli za Qur’an na uhai wa misikiti, na nina matumaini uwepo wa vijana katika misikiti utakuwa mkubwa zaidi.
-
Rais katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ya Medhametan:
''Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu na wa Qur’ani ni la kuthaminiwa sana.”
“Dkt. Pezeshkian katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ‘Medhametan (ni jina la tukio / shindano)’, huku akitoa shukrani kwa waandaji wa mashindano haya, alisisitiza: Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu katika nyanja hii ya ujenzi wa kiroho ni la kuthaminiwa sana.”
-
Katibu Mkuu wa Mtandao wa Uhuru wa Palestina nchini Indonesia (FPN) katika mahojiano na Shirika la Habari la AhlulBayt (ABNA):
"Msaada kwa Palestina unapaswa kuongozwa kwa ufanisi, kuandaliwa kwa umoja na kuongezwa mara kadhaa"
"Ni kweli kwamba usitishaji wa vita umewapa Wapalestina muda wa kupumua, lakini tunapaswa kuwa waangalifu dhidi ya mpango wa kibepari wa Trump. Haiwezekani Marekani - ambayo ni mshirika mkuu katika mauaji ya Wapalestina - kuwa msuluhishi wa haki. Katika mpango wa vipengele 20 wa Trump, hakuna popote palipotajwa uhuru wa Palestina.”
-
Je, ilikuwa sahihi kutumia vijana baleghe wachanga katika Vita vya Kulazimishwa (Vita vya Iran na Iraq)?
Nchi kadhaa za Ulaya, ikiwemo Ujerumani, zimeruhusu kisheria ajira ya zaidi ya watoto askari 1,500 chini ya utaratibu wa kipekee wa jeshi.
-
Jamiat Al-Mustafa(s) - Dar-es-Salam | Kikao cha Kielimu: Nafasi ya Imam Hassan Askari(as) katika Kuhifadhi Madhehebu ya Shia Kuendeleza Njia ya Uimamu
Katika hotuba yake, aligusia mazingira ya kisiasa ya wakati huo, mbinu za kitaqiyya (kuficha imani kwa sababu za kiusalama), kulea wafuasi maalum, na juhudi za Imam katika kuimarisha misingi ya aqida ya Kishia.
-
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" Lafanyika Katika Njia ya Arubaini
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".
-
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana
kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.
-
Sheikh Dkt. Reihan Yasin: "Nafasi ya Vijana Katika Mapinduzi ya Imam Hussein(as) Katika Ardhi ya Karbala"
Vijana Waumini wa Kiislamu walicheza nafasi muhimu, yenye ufanisi mkubwa na athari chanya katika Vita vya Karbala. Karbala ilikuwa imejaa vijana, na mmoja wao alikuwa ni "Qasim bin Hassan". Alikuwa kijana na shujaa, na pia alikuwa anayo maanadalizi ya kutosha, kwa sababu alikuwa na moyo safi na wenye utimamu.