Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".
Vijana Waumini wa Kiislamu walicheza nafasi muhimu, yenye ufanisi mkubwa na athari chanya katika Vita vya Karbala. Karbala ilikuwa imejaa vijana, na mmoja wao alikuwa ni "Qasim bin Hassan". Alikuwa kijana na shujaa, na pia alikuwa anayo maanadalizi ya kutosha, kwa sababu alikuwa na moyo safi na wenye utimamu.