Vijana
-
Je, ilikuwa sahihi kutumia vijana baleghe wachanga katika Vita vya Kulazimishwa (Vita vya Iran na Iraq)?
Nchi kadhaa za Ulaya, ikiwemo Ujerumani, zimeruhusu kisheria ajira ya zaidi ya watoto askari 1,500 chini ya utaratibu wa kipekee wa jeshi.
-
Jamiat Al-Mustafa(s) - Dar-es-Salam | Kikao cha Kielimu: Nafasi ya Imam Hassan Askari(as) katika Kuhifadhi Madhehebu ya Shia Kuendeleza Njia ya Uimamu
Katika hotuba yake, aligusia mazingira ya kisiasa ya wakati huo, mbinu za kitaqiyya (kuficha imani kwa sababu za kiusalama), kulea wafuasi maalum, na juhudi za Imam katika kuimarisha misingi ya aqida ya Kishia.
-
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" Lafanyika Katika Njia ya Arubaini
Onyesho la "Mchezo wa Kwanza" linaloongozwa na Mtayarishaji na Mkurugenzi Meisam Yusufi, litatekelezwa kama sehemu ya Maonyesho ya Tano ya Tamasha la Kimataifa la Tamthilia za Umma katika Njia ya Arubaini, linalojulikana kama "Riwaya za Wasafiri".
-
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana
kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.
-
Sheikh Dkt. Reihan Yasin: "Nafasi ya Vijana Katika Mapinduzi ya Imam Hussein(as) Katika Ardhi ya Karbala"
Vijana Waumini wa Kiislamu walicheza nafasi muhimu, yenye ufanisi mkubwa na athari chanya katika Vita vya Karbala. Karbala ilikuwa imejaa vijana, na mmoja wao alikuwa ni "Qasim bin Hassan". Alikuwa kijana na shujaa, na pia alikuwa anayo maanadalizi ya kutosha, kwa sababu alikuwa na moyo safi na wenye utimamu.