Chakula
-
Simanzi Gaza: Mtoto Aliyegusa Dunia kwa Miwani Yake Iliyovunjika Aonekana Akilia Baada ya Kuvunjika Tena
Ayoub Junaid, mtoto wa Gaza aliyekuwa ishara ya mateso ya watoto wa Palestina, ameonekana akilia kwa uchungu baada ya kuanguka na kuvunja miwani yake iliyokuwa tayari imetengenezwa kwa njia za kawaida kutokana na hali ngumu ya maisha inayosababishwa na vita.
-
Vita Dhidi ya Iran Vyatikisa Usalama wa Chakula Sudan
Kupanda kwa bei za mafuta na mbolea kutokana na mzozo unaoongozwa na Marekani dhidi ya Iran kunatishia uzalishaji wa chakula nchini Sudan, huku zaidi ya watu milioni 19.5 wakikabiliwa na njaa kali.
-
UMOJA WA MATAIFA: Nusu ya Wakazi wa Afghanistan Wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Ofisi ya Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa mwaka 2026 takribani watu milioni 22 — sawa na asilimia 45 ya watu wa Afghanistan — watahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu; huku idadi ya watu wenye uhaba mkali wa chakula ikifikia milioni 17.4 na milioni 5.2 wakiwa katika hatari ya njaa kali.
-
Mtindo wa Maisha | Ushauri / Wasia wa Kutoa Chakula Kuwalisha Watu
“Iwapo nyinyi mmekula na hamuhitaji, basi kuna watu wanaohitaji. Wapeni wao haya matunda badala ya kuyapoteza".
-
Malengo ya “Kulisha Chakula” kwa “Mazuwwari wa Arbaeen” katika Uislamu
Mwenye Kutoa chakula kwa Mazuwwari wa Arbaeen ni mwakilishi wa ukarimu na upendo kwa Ahlul Bayt (a.s) ambao una mizizi yake katika mafundisho ya Qur’ani yanayohimiza kutoa sadaka kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na riwaya za Imamu wa Ahlul Bayt (a.s) kuhusu huduma kwa waumini. Kitendo hiki kizuri si tu kwamba kinasaidia kurahisisha safari ya Mazuwwari, bali pia kinakuza umoja na baraka za Kimungu.
-
Trump adai: Ninashughulikia mpango wa kuwafikishia chakula watu wa Ukanda wa Gaza
"Nipo katika hatua ya maandalizi ya kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa watu wa Gaza"
-
Madrasa Hazrat Zainab (sa) | Dini na Afya: Dkt. Beshteri Azungumzia Umuhimu wa Lishe Sahihi kwa Muislamu
Dkt. Beshteri alieleza kuhusu adabu za kula chakula kulingana na mafundisho ya Imam Ja’far Sadiq (a.s), akitaja riwaya mbalimbali zinazoelekeza namna bora ya kula kwa mujibu wa maadili ya Kiislamu.