Chakula
-
Malengo ya “Kulisha Chakula” kwa “Mazuwwari wa Arbaeen” katika Uislamu
Mwenye Kutoa chakula kwa Mazuwwari wa Arbaeen ni mwakilishi wa ukarimu na upendo kwa Ahlul Bayt (a.s) ambao una mizizi yake katika mafundisho ya Qur’ani yanayohimiza kutoa sadaka kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na riwaya za Imamu wa Ahlul Bayt (a.s) kuhusu huduma kwa waumini. Kitendo hiki kizuri si tu kwamba kinasaidia kurahisisha safari ya Mazuwwari, bali pia kinakuza umoja na baraka za Kimungu.
-
Trump adai: Ninashughulikia mpango wa kuwafikishia chakula watu wa Ukanda wa Gaza
"Nipo katika hatua ya maandalizi ya kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa watu wa Gaza"
-
Madrasa Hazrat Zainab (sa) | Dini na Afya: Dkt. Beshteri Azungumzia Umuhimu wa Lishe Sahihi kwa Muislamu
Dkt. Beshteri alieleza kuhusu adabu za kula chakula kulingana na mafundisho ya Imam Ja’far Sadiq (a.s), akitaja riwaya mbalimbali zinazoelekeza namna bora ya kula kwa mujibu wa maadili ya Kiislamu.
-
Kwa upendo wa Wilayat ya Amirul Muuminina (a.s); Sherehe za Umma za Ghadir zinafanyika katika zaidi ya miji 500 na nchi 20 duniani kote
Msemaji wa Kamati ya Sherehe za Umma za Ghadir Khumm alisema kuwa sherehe hii imeenea kwa zaidi ya miji 500 nchini Iran na katika nchi 20 duniani. Mwaka huu, tunatarajia kupika zaidi ya sufuria 30,000 za chakula cha moto, kushirikishwa kwa zaidi ya watumishi 100,000 mjini Tehran, kuwepo kwa mabaraza (Mawa'qib) ya umma 2,400 na kuanzishwa kwa mbuga za michezo kwa watoto milioni moja; yote haya kwa upendo wa Wilaya ya Amirul Momineen (a.s).