Maisha
-
Falsafa ya Maombolezo na Kumbukumbu ya A'shura | Kulinda Haki na Uhuru wa Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maisha binafsi
Haki ya mtu binafsi na umma: Imam Hussein alijua kwamba alikuwa akielekea kifo, lakini alikusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kulinda haki na uhuru wa watu ni muhimu kuliko maisha binafsi. Maombolezo ya Ashura yanatufundisha kuwa watu wanapaswa kuwa tayari kujitolea, si tu kwa ajili ya nafsi zao, bali kwa ajili ya ustawi wa jamii.
-
Mikakati ya Imam Hadi (a.s) katika Kueneza Mtandao wa Shi'a na Kuimarisha Harakati za Kijamii
Shughuli za Imam Hadi (a.s) zilikuwa na nafasi muhimu katika kuhifadhi utambulisho wa kiakili na imani wa Waislamu wafuasi wa Madhehebu ya Shi'a Ithna Ashari. Uongozi wake wa kiroho na wa fikra kwa Shi'a waliokuwa Samarra, kuimarisha mtandao wa mawasiliano kati ya wafuasi wa Ahlul Bayt(as), na kusimama imara dhidi ya shinikizo la wa Abbasi, ni miongoni mwa huduma muhimu za Imamu Hadi katika maandalizi ya Shi'a kwa zama za Ghaibat Kubwa (Kutoonekana kwa Muda Mrefu).
-
Faida za Kustaajabisha za Kiafya za Majani ya Gwava (Mapera) Katika Maisha ya Kila Siku
Majani ya gwava huenda yasiwe na ladha nzuri kama matunda yake yalivyo, lakini bila shaka yana faida za kiafya na za kitiba. Kupitia tovuti hii ya ABNA, tutajadili faida za kiafya za majani ya Tunda la Gwava (Mapera).
-
Sheikh Zakzaky amekutana na wanafunzi wa programu ya Hifdhi ya Qur’an wa Fudiyyah kabla ya sherehe za kuhitimu
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayed Ibraheem Zakzaky, amekutana na wanafunzi wa Fudiyyah waliokamilisha Hifdhi ya Qur’an kabla ya sherehe za kuhitimu
-
Sheikh Abdul Ghani | "Kila hatua katika Maisha ya Mwislamu inapaswa kuzingatia lengo kuu, na Lengo kuu sio njaa wala mkate"
Uuzaji wa Heshima kwa Mabepari: Sheikh alilaani wazi wale wanaoisaliti Palestina na kuipendelea dunia kwa kubadilisha heshima yao kwa manufaa ya watawala dhalimu.
-
Sheikh Abdul Ghani Khatibu | Maisha bila Malengo, ni Maisha yasokuwa na maana
Tukumbuke, maisha haya ni safari. Safari bila ramani hupotea. Weka malengo yako, yashike kwa mikono miwili, na muombe Allah akukadirie kheri na mafanikio ndani yake.
-
Nukta 7 na Muhimu za Tabia Njema, Zilizosheheni Hekima na Busara
"Mwenyezi Mungu ameumba Viumbe Tofauti tofauti, na kila kimoja amekipa sifa zake , Ni Tatizo sana unapo taka Sifa za Kuku awenazo Bata".
-
UNICEF: Maisha ya watoto milioni moja huko Gaza yako hatarini
Wakati huo huo hujuma zikiendelea na ugavi wa misaada kwa Gaza ukikatizwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto lilionya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika eneo hili na kutangaza kwamba maisha ya watoto wapatao milioni moja katika ukanda huu yako chini ya hatari na tishio kubwa.