Maisha
-
Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kidini katika masuala ya Hija na Ziara:
"Kufuata mtindo wa maisha wa Imam Hussein (a.s) ni suluhisho kwa changamoto za jamii ya leo"
Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kidini katika Masuala ya Hija na Ziara, katika hafla ya kufunga tukio la pili la kimataifa la vyombo vya habari “Nahnu Abna’ Al-Husayn (a.s)”, alisisitiza umuhimu wa kunufaika na mtindo wa maisha na mafundisho ya Imam Husayn (a.s) ili kujibu mahitaji ya jamii ya leo.
-
Kuongezeka kwa Idadi ya Mashahidi wa Njaa Gaza hadi 269
Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa katika saa 24 zilizopita watu wengine watatu wamepoteza maisha yao kutokana na njaa na ukosefu wa chakula.
-
Chuo Kikuu cha al-Mustafa (s) Dar es Salaam - Tanzania Chaandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu: "Dakika za Mwisho za Maisha ya Mtume Muhammad (s.a.w.w)"
Mtoa Mada: Sheikh Taqi Zakariya. Tarehe: Jumamosi, 16-08-2025. Muda: Kuanzia Saa 4:00 Ask Asubuhi hadi 6:00 Mchana. Eneo: Muswalla wa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam. Mwaliko huu ni kwa Wote.
-
Magharibi mwa Asia na Mashariki ya Kati | Watu 11 Wauawa na Kujeruhiwa Kutokana na Mlupuko wa Mabomu Yaliyosalia huko Tyre, Lebanon
Watu 11 wa jeshi la Lebanon wameuawa na kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa mabomu yaliyosalia kutoka kwenye uvamizi wa awali wa utawala wa Kizayuni kusini mwa Lebanon, tukio ambalo limepelekea viongozi wa juu wa nchi hiyo kutuma salamu za rambirambi.
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia Lebanon Aikosoa Vikali Serikali ya Nchi Hiyo
Alielekeza maneno yake kwa Rais Joseph Aoun, akisema: "Uliwaambia watu wa Muqawama kuwa waitegemee Serikali – lakini haukusema ni Serikali ipi hiyo? Watu wetu hawako tayari kuwa wahanga wa wauaji ambao watawatendea kama walivyowatendea Wapalestina."
-
(Muqawamah) Kusimama dhidi ya Ubeberu ni Fahari ya Mataifa ya Waumini
"Kazi yetu kuu ni kuinua bendera ya Qur’an ili kwa kueneza mtindo sahihi wa maisha, jamii ya Kiqur’ani iweze kuundwa. Ikiwa nchi za Kiislamu zitaifuata Qur’an, zitauweza kuwalazimisha maadui kurudi nyuma"
-
Wataalamu wa Kieneo katika Mahojiano na ABNA: Njaa ya kimfumo dhidi ya watu wa Gaza ni uhalifu usio na kifani na doa la aibu juu ya uso wa Binadamu
Jinai za uharibifu kamili wa ardhi, watu na kila dalili za maisha katika ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (na Utawala wa Kizayuni) zinaakisi matamanio ya jeshi la Netanyahu kuwa tawi la uhalifu wa kimataifa katika ardhi za Kiislamu.
-
Falsafa ya Maombolezo na Kumbukumbu ya A'shura | Kulinda Haki na Uhuru wa Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maisha binafsi
Haki ya mtu binafsi na umma: Imam Hussein alijua kwamba alikuwa akielekea kifo, lakini alikusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kulinda haki na uhuru wa watu ni muhimu kuliko maisha binafsi. Maombolezo ya Ashura yanatufundisha kuwa watu wanapaswa kuwa tayari kujitolea, si tu kwa ajili ya nafsi zao, bali kwa ajili ya ustawi wa jamii.
-
Mikakati ya Imam Hadi (a.s) katika Kueneza Mtandao wa Shi'a na Kuimarisha Harakati za Kijamii
Shughuli za Imam Hadi (a.s) zilikuwa na nafasi muhimu katika kuhifadhi utambulisho wa kiakili na imani wa Waislamu wafuasi wa Madhehebu ya Shi'a Ithna Ashari. Uongozi wake wa kiroho na wa fikra kwa Shi'a waliokuwa Samarra, kuimarisha mtandao wa mawasiliano kati ya wafuasi wa Ahlul Bayt(as), na kusimama imara dhidi ya shinikizo la wa Abbasi, ni miongoni mwa huduma muhimu za Imamu Hadi katika maandalizi ya Shi'a kwa zama za Ghaibat Kubwa (Kutoonekana kwa Muda Mrefu).
-
Faida za Kustaajabisha za Kiafya za Majani ya Gwava (Mapera) Katika Maisha ya Kila Siku
Majani ya gwava huenda yasiwe na ladha nzuri kama matunda yake yalivyo, lakini bila shaka yana faida za kiafya na za kitiba. Kupitia tovuti hii ya ABNA, tutajadili faida za kiafya za majani ya Tunda la Gwava (Mapera).
-
Sheikh Zakzaky amekutana na wanafunzi wa programu ya Hifdhi ya Qur’an wa Fudiyyah kabla ya sherehe za kuhitimu
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayed Ibraheem Zakzaky, amekutana na wanafunzi wa Fudiyyah waliokamilisha Hifdhi ya Qur’an kabla ya sherehe za kuhitimu
-
Sheikh Abdul Ghani | "Kila hatua katika Maisha ya Mwislamu inapaswa kuzingatia lengo kuu, na Lengo kuu sio njaa wala mkate"
Uuzaji wa Heshima kwa Mabepari: Sheikh alilaani wazi wale wanaoisaliti Palestina na kuipendelea dunia kwa kubadilisha heshima yao kwa manufaa ya watawala dhalimu.
-
Sheikh Abdul Ghani Khatibu | Maisha bila Malengo, ni Maisha yasokuwa na maana
Tukumbuke, maisha haya ni safari. Safari bila ramani hupotea. Weka malengo yako, yashike kwa mikono miwili, na muombe Allah akukadirie kheri na mafanikio ndani yake.
-
Nukta 7 na Muhimu za Tabia Njema, Zilizosheheni Hekima na Busara
"Mwenyezi Mungu ameumba Viumbe Tofauti tofauti, na kila kimoja amekipa sifa zake , Ni Tatizo sana unapo taka Sifa za Kuku awenazo Bata".
-
UNICEF: Maisha ya watoto milioni moja huko Gaza yako hatarini
Wakati huo huo hujuma zikiendelea na ugavi wa misaada kwa Gaza ukikatizwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto lilionya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika eneo hili na kutangaza kwamba maisha ya watoto wapatao milioni moja katika ukanda huu yako chini ya hatari na tishio kubwa.