-
Moto Wateketeza Kituo cha Watoto Yatima Igambilo - Tabora | Watano Wafariki - Vilio, Maombi na Msaada Vyashika Kasi + Picha
Tunaomba kwa unyenyekevu kwa yeyote atakayeguswa na tukio hili la kusikitisha, achangie kadiri ya alivyoneemeshwa na Allah ili kusaidia watoto hawa ambao wamepoteza sio tu makazi yao, bali pia wenzao waliokuwa nao katika kituo hicho.
-
Sheikh Dr. Alhad Musa Salum Akabidhiwa Tuzo ya Uongozi wa Mfano na JMAT Mkoa wa Dar -es- Salaam
Tukio hilo lilifanyika katika Mkutano Mkuu wa Mkoa wa JMAT kwa Muhula wa Kwanza wa Mwaka 2025, ambapo viongozi mbalimbali wa kidini na kijamii walihudhuria.
-
Tanzania Yaomboleza Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Job Yustino Ndugai
Katika salamu za rambirambi, pole zimetolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla.
-
Jeshi la Mapinduzi la Iran Laonya Marekani na Israel: Jibu Litakuwa Kali Mno Kuliko Mnavyodhani
Iran iko tayari kwa Operesheni Kubwa Dhidi ya Wachokozi kwa muda wowote ule.
-
Darasa la Kompyuta lafanyika katika Shule ya Imam Zainul-Abidina (as) Nchini Burundi - Chini ya Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) +Picha
Shule ya Imam Zaynul Aabidin (A.S) imekuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu yenye mchanganyiko wa mafunzo ya dini na maarifa ya kisasa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya vijana wa Kiislamu kuikabili dunia ya leo kwa maarifa na imani.