Al Jazeera
-
Al-Jazeera: Mashambulizi Dhidi ya Miundombinu ya Kuwait Yataathiri kwa Kiasi Kikubwa Upatikanaji wa Maji
Al-Jazeera English imeripoti kuwa mashambulizi dhidi ya miundombinu muhimu ya kiraia nchini Kuwait, ikiwemo kiwanda cha umeme na kiwanda cha kusafisha maji ya bahari, yanaweza kuwa na athari kubwa kwa nchi hiyo, ambayo hupata takribani asilimia 90 ya maji yake ya kunywa kupitia mchakato wa kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari.
-
-
Jenerali Qassim Soleimani Aliwahi Kutoa Onyo Kuhusu “Ujasusi wa Luna Al-Shibl”
Jarida la Saudia Al-Majalla limedai kwamba Shahidi Qasem Soleimani aliwahi kuwaonya maafisa wa Syria kuhusu Luna Al-Shibl kuwa jasusi.
-
Jeshi la Israel Ladai Kumuua Kigaidi Kamanda Mwandamizi wa Hezbollah katika Mji wa Beirut
Kwa mujibu wa kituo cha habari cha Aljazeera, jeshi la Israel limedai kuwa limemuua mmoja wa makamanda wakuu wa Hezbollah katika mji wa Beirut.
-
-
Pezeshkian: Madai ya Trump kuhusu kukomesha mpango wa Nyuklia wa Iran ni Udanganyifu
Katika mahojiano na gazeti la Al-Jazeera, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza utayarifu wake wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni, aliyataja mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran kuwa ni ndoto na njozi. Aidha, alisema: Hatutaki Vita, lakini Tuko Tayari Kujilinda kwa Nguvu Zetu Zote.