Alhamisi
-
Luiz Roberto Alves Afariki Dunia; Nguzo ya Elimu ya Umma na Haki ya Kijamii Nchini Brazili
Luiz Roberto Alves, profesa mashuhuri wa Chuo Kikuu cha São Paulo (USP), mwanazuoni wa elimu na mtetezi mahiri wa haki ya kijamii, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 katika mji wa São Paulo. Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika nyanja ya elimu ya umma, usomeshaji na sera za kijamii nchini Brazili.
-
Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja
Hafla ya Uzinduzi wa “Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia” Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja wa Kibinadamu
-
Jeshi la Israel wafanya mashambulizi mapya Gaza baada ya siku ya mauaji makubwa
Jeshi la Israel limefanya mashambulizi ya anga mashariki mwa Khan Yunis na kuua na kuwajeruhi makumi ya raia. Vikosi vya uokoaji viliopoa miili ya mashahidi na kuwahamisha waliojeruhiwa, huku hospitali zikithibitisha vifo 28, wakiwemo watoto 17.
-
Likizo ya Wiki Moja katika Mkoa wa Najaf Al-Ashraf kwa Ajili ya Kuwakaribisha Mazuwwari wa Arubaini
Baraza la Mkoa wa Najaf Al-Ashraf limetangaza likizo ya wiki moja kwa ofisi zote za serikali katika mkoa huo, ili kuwezesha ushiriki wa wananchi katika maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na kutoa huduma bora kwa maelfu ya mahujaji wanaoelekea Najaf Ashraf.