Ali Larijani
-
Katibu wa Usalama wa Taifa Iran: “Muqawama ni Hazina Kuu kwa Eneo na Umma wa Kiislamu"
Larijani alitembelea Iraq na Lebanon kwa mazungumzo na viongozi wakuu, akiwemo Rais Joseph Aoun na Spika Nabih Berri.
-
Larijani: Hezbollah Haina Haja ya Msimamizi au Mlezi
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuhusu makundi ya upinzani wa ukombozi nchini Lebanon kwamba: Hezbollah na harakati za muqawama zina upeo wa juu wa fikra za kisiasa na hazihitaji mlezi.
-
Kabla ya kuondoka Tehran kuelekea Iraq na Lebanon;
LariJani: Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa / Kusisitiza umoja wa kitaifa wa Lebanon
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa alisema kwamba usalama wa Iran unategemea usalama wa majirani zake na kuongeza: “Mkataba wa usalama kati ya Iran na Iraq unaandaliwa na utaasainiwa katika safari hii.”
-
Ali Larijani Ateuliwa Kuwa Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran
Uteuzi wake katika nafasi hii nyeti unaashiria uwezekano wa mwelekeo mpya katika sera za usalama na uhusiano wa kimataifa wa Iran.