Amirul Muuminina
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(AS):
Ghadir inachukuliwa kuwa ni harakati ya kuunganisha Uislamu | Kama Kusingekuwa na Ghadir, Uislamu Halisi ungeamizwa na Bani Umaiyya na Bani Abbas
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS): Kabla ya Mapinduzi, walikisema haiwezekani kuwepo kwa Mapinduzi ya Kiislamu, na wanachuoni hawakufikiri kwamba mabadiliko makubwa yangetokea nchini Iran, bali Mapinduzi ya Kiislamu yalikuwepo na yalishinda, na hayo yalikuwa ni Mapinduzi yaliyoongozwa na Kiongozi Muadhamu, na kila kitu kuhusu Mapinduzi hayo kilikuwa ni ufunuo kwa dini, kwamba hayo si chochote ila ni muujiza na kazi ya Mwenyezi Mungu.
-
Kwa upendo wa Wilayat ya Amirul Muuminina (a.s); Sherehe za Umma za Ghadir zinafanyika katika zaidi ya miji 500 na nchi 20 duniani kote
Msemaji wa Kamati ya Sherehe za Umma za Ghadir Khumm alisema kuwa sherehe hii imeenea kwa zaidi ya miji 500 nchini Iran na katika nchi 20 duniani. Mwaka huu, tunatarajia kupika zaidi ya sufuria 30,000 za chakula cha moto, kushirikishwa kwa zaidi ya watumishi 100,000 mjini Tehran, kuwepo kwa mabaraza (Mawa'qib) ya umma 2,400 na kuanzishwa kwa mbuga za michezo kwa watoto milioni moja; yote haya kwa upendo wa Wilaya ya Amirul Momineen (a.s).
-
"Maarifa ya Nahjul Balagha (3) / Dua za Imam Ali (a.s)"
Hata ingawa seti ya dua zinazosimuliwa kutoka kwa Imam Ali (a.s) inafikia takriban dua 700, lakini kwa kuzingatia msisitizo wa Sayyid Razi katika kuchagua baadhi ya maneno ya Imam Ali (a.s) katika kitabu cha Nahjul Balagha, kuna takriban dua 50 zinazohusishwa na Amir al-Mu'minin (a.s) ambazo zinahusisha mada mbalimbali.
-
Wa Kwanza Kuitwa Amirul-Muuminina:
Mwenyezi Mungu (s.w.t) Alimpa Ali bin Abi Talib Lakabu ya “Amirul Muuminina”
Ukufungua kurasa za Historia ya Maisha yake safi ya Imam Ali bin Abi Talb (a.s), utamkuta kwamba yeye ni wa mwanzo katika kila kitu, kisha wengine wanafuata nyuma yake katika kitu hicho.