Mkutano wa kielimu wa “Sira ya Alawi” umefanyika Chittagong, Bangladesh, kwa ushirikiano wa wanazuoni wa Shia na Sunni, ukijadili maadili, haki na uongozi wa kidini wa Imam Ali (a.s) na kuhimiza mshikamano wa kidini na kitamaduni katika jamii ya Kiislamu.
Katika sehemu hii ya hotuba, Imam Ali (a.s) anasisitiza kwamba vyombo vya habari na mbinu za kisaikolojia ni silaha kuu za Shetani na wafuasi wake katika kujaribu kurejesha dhulma na uongo katika jamii.