Ayatollah Abul-Qasim Alidoust, mmoja wa walimu wa masomo ya kiwango cha juu (Dars-e-Kharij) katika Hawza ya Kiislamu ya Qom, amekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah al-Uzma Javadi Amoli
“Kile ambacho ni utambulisho wa Ahlul-Bayt (a.s), ni kilekile ambacho ni utambulisho wa Qur’an; ikiwa Qur’an inazungumza kwa ukweli, basi Ahlul-Bayt (a.s) pia wanazungumza kwa kweli, na ikiwa walisitiza kusema kitu fulani, kilikuwa kwa kweli.”
Ayatollah Al-Udhma Abdullah Javadi Amoli alisisitiza umuhimu wa kuunganisha sanaa na ushairi na Tauhidi (umoja wa kumpwekesha Mwenyezi Mungu), akisema kuwa iwapo mafundisho ya tauhidi yatahuishwa kwa sura yake halisi, basi jamii ya Kiislamu haitapotea wala kukumbwa na vitisho kutoka kwa maadui.