Bendera
-
Hamza(ra), Bendera ya Kwanza ya Uislamu
Hamza bin Abdulmuttalib (ra), ami yake Mtume wa Uislamu(saww), anajulikana kama Bendera ya kwanza ya Uislamu. Kwa ujasiri na kujitolea kwake katika kumtetea Mtume na mafundisho ya Kiislamu, alicheza nafasi muhimu katika kueneza Uislamu. Hamza hakuwa tu shujaa katika uwanja wa vita, bali pia alikuwa mfano na mlinzi wa Waislamu, daima akiwa upande wa Mtume na kwa msimamo wake, alitia nguvu na matumaini katika nyoyo za waumini.
-
Dkt. Larijani: Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa hazina kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika ziara yake kwenye eneo la Dahieh Kusini mwa Beirut na kutembelea kaburi la Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, alimueleza kuwa ni hazina kubwa kwa ulimwengu wa Kiislamu na kusisitiza juu ya kuendeleza njia ya muqawama (upinzani wa haki).
-
Katuni ikionyesha "Shambulizi dhidi ya Iran: Jinsi Lilivyoanza na Jinsi Lilivyomalizika!"
Mushikamano na Umoja wa Wananchi wa Taifa la Iran ndio Siri ya Mafanikio na Ushindi Mkubwa dhidi ya Adui wa Iran na Ummah wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Hadithi / Tukio la Kushusha Bendera ya Kuba ya Haram ya Bibi Zainab (a.s)
Imam wa Haram ya Bibi Zainab (a.s) alitangaza sababu ya kushushwa kwa bendera iliyokuwa juu ya Kuba ya Haram hiyo Tukufu.