Daraja
-
Tarehe 13 Rajab: Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Kiongozi Mkuu wa Umma, Imam Ali (a.s)
Tarehe 13 ya mwezi wa Rajab ni siku ya kuzaliwa kwa Imam Ali (a.s), kiongozi mkuu baada ya Mtume Muhammad (s.a.w.w), ambaye ni mtu pekee aliyezaliwa ndani ya Al-Kaaba Tukufu na anayetambuliwa kwa elimu, uadilifu, ujasiri na maadili mema kwa wanadamu wote.
-
Kutua kwa Ndege ya Elfu Moja Iliyobeba Silaha katika Uwanja wa Ndege wa Ben-Gurion huko Tel Aviv
Ndege ya elfu moja iliyobeba silaha na rasilimali za kijeshi tangu kuanza kwa vita vya Gaza, kama sehemu ya daraja kubwa la anga la Israel, imepataja kwenye uwanja wa ndege wa Ben-Gurion.
-
Maulid ya Kitaifa 2025 Yang'ara Tanga | Rais wa Jamiat al-Mustafa (s) - Tanzania Sh.Dr. Ali Taqavi Ajumuika na Umma Kuadhimisha Maulid ya Mtume (saww)
Sherehe hiyo ya Mazazi ya Mtume wa Ummah (saww), imeonesha mshikamano, mapenzi ya dhati, na hamasa kubwa ya waislamu katika kuenzi maisha na mafundisho ya Mtume Muhammad (s.a.w.w). Idadi kubwa ya washiriki katika hafla hii imekuwa ishara tosha ya mafanikio makubwa ya tukio hilo takatifu, na ushahidi wa mapenzi ya kweli kwa Mtume wa Mwisho
-
Thawabu na Faida Kuu za Kuswali Sala ya Jamaa | Madrasat Hazrat Zainab (sa) Kigamboni, Dar-es-Salam kama mfano hai katika kudumisha Sala za Jamaa
Sala ya Jamaa ni Kinga dhidi ya Shetani. Na Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) alisema: فإنَّما يأكلُ الذئبُ منَ الغنمِ القاصيةَ / “Hakika mbwa mwitu humla Kondoo aliyejitenga.”