Haja
-
Taarifa ya Mwisho ya Mkutano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s):
Kuanzia Kusisitiza Umoja hadi Umuhimu wa Vyombo vya Habari na Haja ya Kuielezea Kwa Usahihi Itikadi ya Maktaba ya Ahlul-Bayt (a.s)
Katika kukaribia maadhimisho ya miaka 1500 ya kuzaliwa kwa heshima Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie yeye na Ahlul-Bayt wake) na kuzaliwa kwa furaha kwa mtoto wake mtukufu, Imam Ja'far Sadiq (amani iwe juu yake), kikao cha 195 cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kilifanyika tarehe 15/06/1404 (kwa kalenda ya Hijria Shamsia) katika mji wa Tehran, kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wajumbe wa Baraza Kuu.
-
Makala Maalum | Uso Halisi wa Marekani – Donald Trump Afichua Uso wa Kweli wa Marekani - Sura ya Ubeberu Bila Kivuli!
Donald Trump kama Mwakilishi wa Wazi wa Utawala wa Marekani, Afichua Uso Halisi wa Taifa Hilo Donald Trump, aliyekuwa rais wa Marekani, alijitokeza kama mwakilishi wa bila kificho wa watawala wa Marekani, na kupitia matendo yake, aliweka wazi sura halisi ya historia na utambulisho wa nchi hiyo. Kwa hatua yake ya kubadili jina la "Wizara ya Ulinzi" kuwa "Wizara ya Vita", Trump alifichua ukweli kwamba Marekani haiko tena tayari kujificha nyuma ya maneno ya "ulinzi" na "usalama wa kimataifa". Badala yake, alionyesha kuwa taifa hilo sasa linataka kujenga dunia mpya inayozingatia sheria ya vita, si sheria za haki za binadamu au amani ya kimataifa.
-
Nguvu ya Maamuzi Inashinda Haja na Matamanio ya Mwanadamu | Matamanio hukutaka uishi kwa sasa; Maamuzi hukutaka uishi kwa heshima
“Watu wengi wanataka kubadilika katika maisha yao na kuwa na maendeleo mazuri, lakini ni wachache kati yao wanaofanya hivyo, kwa sababu Nguvu ya Maamuzi ndani yao ni ndogo, na ukizingatia Nguvu ya Maamuzi ndio inayobeba matokeo chanya, na si haja pekee.”