Ibrahim
-
Hospitali ya Ebrahim Hajji Charitable Healthcare Yatangaza Upimaji Bure wa Saratani Kwa Wananchi - Dkt. Molloo Aeleza Mpango Kabambe
“Upimaji wa Saratani tofauti kama ya shingo ya kizazi, matiti, na tezi dume kwa wanaume utafanyika bure kabisa. Wengine watapata matibabu hapo hapo na wale wanaohitaji huduma maalum zaidi watapewa rufaa,” alisema Dkt. Molloo.
-
Hatima ya Watesi wa Ahlul-Bayt (a.s) | Waliomuua Imam Hussein (a.s) na Historia ya Kisasi na Kuangamizwa kwao
Wauaji wa Imam Hussein (as) walipata mmoja mmoja Hukumu za Kidunia kwa kumwaga Damu Takatifu ya Mjukuu wa Mtume Muhammad (saww) katika Ardhi ya Karbala
-
Sheikh Zakzaky amekutana na wanafunzi wa programu ya Hifdhi ya Qur’an wa Fudiyyah kabla ya sherehe za kuhitimu
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayed Ibraheem Zakzaky, amekutana na wanafunzi wa Fudiyyah waliokamilisha Hifdhi ya Qur’an kabla ya sherehe za kuhitimu
-
"Kutoka 'Juhudi Zisizoisha' hadi kwenye 'Diplomasia ya Muqawamah'; Wiki ya Kuwapa Heshima Mashahidi wa Huduma"
"Saeed Ohadi, Mkuu wa Kamati ya Maadhimisho ya Kumkumbuka Shahidi Ayatollah Sayyid Ebrahim Raisi na Mashujaa wengine wa Huduma, ameeleza kwa kina ratiba ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza ya mashahidi wa huduma."