Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, ameitaka jumuiya ya kimataifa kuishinikiza Israel ili itekeleze kikamilifu makubaliano ya usitishaji vita na ijiondoe katika ardhi ya Lebanon.
Katika kukaribia maadhimisho ya miaka 1500 ya kuzaliwa kwa heshima Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie yeye na Ahlul-Bayt wake) na kuzaliwa kwa furaha kwa mtoto wake mtukufu, Imam Ja'far Sadiq (amani iwe juu yake), kikao cha 195 cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kilifanyika tarehe 15/06/1404 (kwa kalenda ya Hijria Shamsia) katika mji wa Tehran, kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wajumbe wa Baraza Kuu.