Wakili wa Ikrimah Sabri amesema kwamba mashtaka dhidi yake ni sehemu ya “ufuasi wa kisiasa, kidini na kifikra,” na kwamba mamlaka za Kizayuni haziridhiki na misimamo yake ya kidini na kisiasa na wanajitahidi kunyamazisha sauti yake.
Hii ni kwa mara nyingine tena, Sauti ya Tanzania kuinuliwa Katika Haram Tukufu ya Imam Ali (A.S), katika Mji Mtukufu wa Najaf Al-Ashraf Nchini Iraq, kupitia Mwanafunzi huyu Mpenzi wa Mtume Muhammad (saww) na Aali zake Muhammad (Amani iwe juu yao).