Kiongozi Muadhamu
-
Ayatullah Khamenei:Mazungumzo na Waandamanaji Halali Yapokelewe na Kusikilizwa, Wachochezi wa Fujo na Ghasia Hawastahili Kusikilizwa Bali Wadhibitiwe
Ayatullah Khamenei amesisitiza utayari wa mazungumzo na waandamanaji halali, huku akionya kuwa wachochezi wa fujo—aliowataja kuwa mamluki wa adui—hawastahili mazungumzo na wanapaswa kuzuiwa kwa sababu ya kueneza kauli mbiu dhidi ya Uislamu, Iran na Jamhuri ya Kiislamu.
-
Simulizi la Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Ali Khamenei, amesisitiza kuwa malalamiko ya wafanyabiashara ni ya haki na yanapaswa kusikilizwa, lakini ghasia zinazosababishwa na vibaraka wa adui hazikubaliki. Ameahidi kuwa taifa litashikilia msimamo thabiti dhidi ya adui, likitegemea Mwenyezi Mungu na mshikamano wa wananchi.
-
Ujumbe wa rambirambi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia kifo cha A'lim Mwanajihad na Mtumishi Hujjatul-Islam Shahcheraghi
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kupitia ujumbe wake ametoa rambirambi kufuatia kifo cha A'lim (mjuzi) Mwanajihadi na Mtumishi, Hujjatul-Islam Sayyid Mohammad Shahcheraghi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Tasnia ya Madahi inapaswa kuwa kitovu cha fasihi ya Muqawama na ufafanuzi wa mafundisho ya dini na mapinduzi
Katika hotuba yake iliyochukua takriban saa tatu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliwapongeza Wairani kwa kuadhimisha kuzaliwa kwa Bibi Fatimah (a.s) na kusema kuwa “mwananchi wa Iran, kwa kupitia msimamo wa kitaifa wa kimapinduzi, ameshindwa kabisa njama za adui kutaka kubadilisha utambulisho wa kidini, kihistoria na kiutamaduni wa taifa hili.”
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi: "Taifa la Iran limewashinda Marekani na utawala wa Kizayun;
Wazayuni hawawezi kusababisha majanga yote haya bila msaada wa Marekani. Ujumbe unaodaiwa kutumwa kwa Marekani ni uongo mtupu.”
“Katika vita vya siku 12, taifa la Iran bila shaka liliwashinda Marekani na utawala wa Kizayuni. Wao walikuja kufanya uhalifu na uovu, lakini waliadhibiwa na wakarudi mikono mitupu, bila kufikia malengo yao hata moja - na hilo ni kushindwa kwao kwa hakika.”
-
Katika kikao na waandaaji wa kongamano la Mirza Naeini,
Kiongozi wa Mapinduzi amesema: Ubunifu wa kielimu na fikra za kisiasa ndizo sifa mbili mashuhuri za Allamah Naeini
Matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alipokutana na washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Allamah Mirza Na'ini yamechapishwa leo asubuhi katika ukumbi wa mkutano huo mjini Qom.