Kishahidi
-
Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn
Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.
-
Katibu Mkuu wa Hezbollah: Damu ya mashahidi wa Yemen imechanganyika na damu ya Wapalestina katika njia ya Quds (Yerusalemu)
Katibu Mkuu wa Hezbollah Lebanon katika ujumbe rasmi kwa kiongozi wa Ansarullah Yemen, pamoja na kutoa rambirambi kwa kifo cha Rais wa Baraza Kuu la Jeshi la nchi hiyo, alithamini kujitolea kwake katika njia ya Quds na kupambana na maadui wa umma wa Kiislamu, na pia alimtakia mafanikio mrithi wake.
-
Kuuawa Kishahidi kwa Abu Ali,Mkuu wa timu ya Ulinzi wa Shahidi Nasrullah, pamoja na «Sayyid Haidar Al-Muwa'li» Naibu wa Kataib Sayyid AlShuhadaa, Iraq
"Kwa Masikitiko, tumepata habari kuwa mmoja wa makamanda wa Kataib Sayyid al_Shuhada, Sayyid Haidar Al-Muwa'li, Naibu wa Abu A'la'i Al-Wila'yi, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amepata kifo cha Kishahidi wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran."
-
Shahadat Imam Jawad (as) | Mashairi ya Maombolezo ya Kifo cha Kishahidi cha Imam Muhammad Taqi (as)
Imam Jawad (as) - Alipewa sumu kali inayounguza moyo, kutoka kwa Umm Fadhl (mke wake, aliyemwekea sumu kwa amri ya mfalme)