Katibu Mkuu wa Hezbollah Lebanon katika ujumbe rasmi kwa kiongozi wa Ansarullah Yemen, pamoja na kutoa rambirambi kwa kifo cha Rais wa Baraza Kuu la Jeshi la nchi hiyo, alithamini kujitolea kwake katika njia ya Quds na kupambana na maadui wa umma wa Kiislamu, na pia alimtakia mafanikio mrithi wake.
"Kwa Masikitiko, tumepata habari kuwa mmoja wa makamanda wa Kataib Sayyid al_Shuhada, Sayyid Haidar Al-Muwa'li, Naibu wa Abu A'la'i Al-Wila'yi, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amepata kifo cha Kishahidi wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran."