Kuimarisha
-
Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba
Waandaaji wa tukio hilo wamesisitiza umuhimu wa jamii kujitolea na kuwajali wananchi wasiojiweza, hususan wale waliolazwa hospitalini na wanaohitajika kuongezewa damu ili kuendelea kuishi. Wamesema misingi ya Mafundisho ya Kiislamu kupitia watukufu wa Ahlul-Bayt (a.s) inasisitiza thamani ya utu, kusaidiana na kujitoa kwa ajili ya kuimarisha ustawi wa jamii.
-
Katika mahojiano na ABNA na mwanafalsafa wa Marekani: Kutoka ‘Medina’ hadi New York; Kushindwa kwa Ukuta wa Hofu Dhidi ya Uislamu Marekani
Profesa Charles Taliaferro, profesa mwandamizi wa falsafa katika Chuo cha Saint Olaf, akitaja wimbi la kampeni za propaganda za kupinga Uislamu nchini Marekani, alisema: “Licha ya kuwepo kwa baadhi ya vipengele vya kupinga Uislamu katika jamii ya Marekani, kuna ishara wazi za heshima, utu, na kukubaliana kati ya Waislamu na watu wengine. Ushindi wa Zahran Mamdani katika uchaguzi wa manispaa ya New York ni tukio muhimu katika kuimarisha harakati za kudhoofisha mazungumzo ya hofu dhidi ya Uislamu.”
-
Waziri Mkuu wa Lebanon: Israel lazima iondoke kwenye ardhi yetu
Wito wa kuimarisha jeshi la Lebanon: Waziri Mkuu Salam aliendelea kusisitiza kuwa: “Utekelezaji wa sera ya serikali ya kuhakikisha silaha zinakuwa mikononi mwa dola pekee — iwe kusini au kaskazini mwa Mto Litani — unategemea kuharakishwa kwa misaada ya kijeshi kwa jeshi la Lebanon na vikosi vya usalama wa ndani.”