Kumuaga
-
Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari wa Urusi: Sijawahi Kushuhudia Jambo Kama Hili Maishani Mwangu
Mwanaharakati wa vyombo vya habari kutoka Urusi amesema umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kumuaga kiongozi wao umeandika historia, akisisitiza kuwa mshikamano wa Wairani umeonyesha mapenzi ya dhati kwa taifa na uongozi wao.
-
Qalibaf Akutana na Spika wa Bunge la Iraq Pembeni ya Shughuli za Maombolezo Tehran
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amekutana na Spika wa Bunge la Iraq, Heibat Al-Halbousi, aliyefika Tehran akiwa na ujumbe wa wabunge kushiriki katika shughuli za maombolezo na kuaga kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Hali ya Majonzi Yatanda Tehran sambamba na kuanza kwa Shughuli za Kumuaga Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hali ya majonzi na huzuni kubwa imeendelea kutawala katika mji wa Tehran kuelekea shughuli za mwisho za kumuaga Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei(Ra), huku umma wa Kiislamu ukiendelea kutoa heshima zake kwa Kiongozi huyu Mwema na mtetezi wa Haki za Wapalestina na Haki za wanyonge popote walipo Ulimwenguni.
-
Siku Tano Zasalia kwa Kuaga Mwili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Shahidi, Imam Sayyid Ali Khamenei
Kamati ya maandalizi ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Shahidi, Imam Sayyid Ali Khamenei (q.s), imetangaza kuwa zimebaki siku tano pekee kabla ya kufanyika kwa hafla ya mwisho ya kuuaga mwili wa kiongozi huyo, aliyesimama kidete kupinga mfumo wa dhulma wa kikanda kwa msaada wa Muqawama.
-
Luiz Roberto Alves Afariki Dunia; Nguzo ya Elimu ya Umma na Haki ya Kijamii Nchini Brazili
Luiz Roberto Alves, profesa mashuhuri wa Chuo Kikuu cha São Paulo (USP), mwanazuoni wa elimu na mtetezi mahiri wa haki ya kijamii, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 katika mji wa São Paulo. Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika nyanja ya elimu ya umma, usomeshaji na sera za kijamii nchini Brazili.