Kusini
-
Jeshi la Iran Laangusha Ndege Isiyo na Rubani ya Adui Kusini mwa Nchi
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuangamiza ndege isiyo na rubani ya adui aina ya “Lukas” kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa anga ya Jeshi la Wanamaji kusini mwa nchi.
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Mkakati Wetu Unategemea Uwezo wa Ndani na Uungwaji Mkono wa Wananchi
Msemaji wa Serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani, amesema kuwa Mkakati wa Serikali unategemea Uwezo wa Ndani na Uungwaji Mkono wa Wananchi, akisisitiza kuwa Umoja wa Kitaifa wa Wananchi wa Iran utaiwezesha Nchi hiyo kupata Ushindi dhidi ya Maadui wanaolenga Maisha ya Watu, Shule na Hospitali.
-
Iran Yatangaza Kushambulia Malengo ya Kijeshi ya Marekani Nchini Qatar
Iran imetangaza kuwa imefanya mashambulizi dhidi ya malengo ya kijeshi ya Marekani yaliyoko nchini Qatar ikijibu mashambulizi ya Marekani Dhidi yake na katika hatua inayoashiria kuongezeka kwa mvutano wa kijeshi kati ya Tehran na Washington.
-
IRGC Yatangaza Kuiangusha Ndege ya Marekani Isiyo na Rubani Aina ya MQ-9 Kusini mwa Iran
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limeiangusha ndege ya Marekani isiyo na rubani aina ya MQ-9 katika anga ya mji wa Khormuj, mkoani Bushehr, kufuatia kile ilichokitaja kuwa mashambulizi ya anga ya Marekani.
-
Uchambuzi: Mashambulizi ya Beirut na Mvutano Mpya wa Kikanda
Kinachoendelea katika shambulizi la Israel dhidi ya Beirut ni kama ifuatavyo: Mashambulizi ya Israel Kusini mwa Beirut yanaonyesha kuendelea kwa mivutano ya kikanda, huku ukiwepo msisitizo kuwa Muqawama - Upinzani- wa Lebanon (Hezbollah) unaona una uhalali wa kukabiliana na jaribio lolote la adui Israel katika kubadilisha mlingano wa usalama katika nchi ya Lebanon.
-
Hezbollah Yaongeza Mashambulizi ya Droni, Makamanda wa Israel Walengwa Kusini mwa Lebanon
Hezbollah imeripotiwa kuanzisha kampeni ya kulenga makamanda waandamizi wa Israel kusini mwa Lebanon kwa kutumia droni za upelelezi na mashambulizi, huku ving’ora vya tahadhari vikisikika zaidi ya mara 25 kaskazini mwa Israel kutokana na makombora na droni zilizorushwa kutoka Lebanon.
-
Rais wa Cuba: Mataifa ya Amerika ya Kusini Lazima Yaungane
Rais wa Cuba ametoa wito kwa mataifa ya Amerika ya Kusini kuimarisha umoja wao kufuatia operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyosababisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, akitaja hatua hiyo kuwa ni “shambulio la kinyama” dhidi ya taifa huru.
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Urusi Inapanga Kuanzisha Kambi 9 za Kijeshi Katika Eneo la Kusini mwa Syria
Urusi, kwa lengo la kurejesha ushawishi wake wa kijeshi hadi mpaka wa kusini mwa Syria, inapanga kuanzisha vituo 9 vipya vya kijeshi katika mikoa ya Quneitra na Daraa.
-
Marekani inatafuta kuzifuta silaha za Hezbollah;
Huku Israel ikiwa kwenye hatari ya kuanza mzozo mpya; Upinzani unabakia mstari wa mbele katika kulinda uhuru na usalama wa Lebanon
Kwenye nyuma ya pazia ya mabadiliko haya, Marekani na Israel kwa vitendo wanaandaa mfumo wa kisiasa na kiusalama ambao lengo lake kuu ni kumaliza uwepo wa vikosi vya upinzani kwenye mipaka ya kusini.
-
Maandamano Makubwa ya Wenyeji Lebanon Kupinga Uamuzi wa Serikali wa Kuvunja Silaha za Muqawama
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Lebanon wamefanya maandamano na mikutano ya hadhara kupinga uamuzi wa serikali wa kuhodhi na kuvunja silaha za vikosi vya Muqawama.