Makaburi
-
Habari za Asia ya Magharibi na Mashariki ya Kati:
Vikosi vya al-Joulani Vimeharibu Makaburi na Maeneo ya Ziarah Kumi na Zaidi
Katika hali ya kuongezeka kwa misimamo mikali nchini Syria, waasi wanaodhibiti Damascus wamechoma moto na kuharibu makaburi na maeneo ya ziarah yanayomilikiwa na makundi ya wachache wa kidini wa Syria.
-
Je, Makaburi ya Baqii yalizingirwa na kuharibiwa (kubomolewa) na kina nani? | Matukio yalivyotendwa katika uharibifu wa Baqii
Mnamo mwaka wa 1220 A.H., Mawahabi waliutwaa mji huo baada ya kuzingirwa kwa mwaka mmoja na nusu na kwa sababu ya njaa huko Madina. [25] Kulingana na vyanzo vilivyopo, baada ya kujisalimisha kwa Madina, Saud bin Abdul Aziz alitaifisha mali yote iliyokuwa kwenye hazina ya Madhabahu ya Mtume na pia akaamuru kuharibiwa kwa majengo na majumba yote ya Madina, pamoja na makaburi ya Baqi.[26]
-
Historia | Tarehe 8 Shawwal 1345 Hijria, Mawahhabi walibomoa na kuyanajisi Makaburi ya Ahlu Bayt wa Mtume Muhammad (s.a.w.w) katika Mji wa Madina
Historia inaonyesha kuwa, katika tukio hilo la kusikitisha, lililotokea tarehe 8 Mfunguo Mosi Shawwal 1345 Hijria (1925 Miladia) Mawahabi wa Saudi Arabia walibomoa makaburi ya Ahlul-Bayt -a.s- wa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ambayo yanapatikana katika ardhi ya Baqi’i, katika Mji Mtakatifu wa Madina.