Mama
-
Aida Surour:
"Kielelezo cha Ushujaa na Subira ya Mama za Mashahidi/Riwaya ya Mama wa Mashahidi Wawili wa Lebanon, Kuanzia Malezi ya Kiashura hadi Subira ya Zaynab"
Mama wa mashahidi wawili wa Lebanon, katika mahojiano na ABNA, alisimulia uzoefu wake kama mama katika njia ya muqawama na uvumilivu aliokuwa nao baada ya kuwapoteza watoto wake. Pia aliwasihi mama na wake za mashahidi waendelee kufuata njia ya wapendwa wao na kushikamana na imani.
-
Mgogoro wa Wahindu katika Msikiti baada ya Imam Kukataa Kusema Kauli ya Kulazimishwa
Katika jimbo la Arunachal Pradesh, India, makundi ya Wahindutva yamewalazimisha imam na wanachama wa msikiti mmoja kusema kauli mbiu ya “Bharat Mata Ki Jai / Iendelee kuishi Mama wa Taifa (India)” na kuwatishia kuharibu msikiti huo, jambo ambalo limezua wimbi jipya la wasiwasi kuhusu shinikizo lililopangwa kwa makini dhidi ya Waislamu katika kaskazini-mashariki mwa India.
-
Hali ya Wasichana katika Uislamu: Upendo, Heshima na Haki
Wasichana katika Uislamu: Hadithi ya Upendo, Heshima na Thamani za Kimungu
Hali ya Wasichana (Mabinti) katika Uislamu inategemea usawa katika uumbaji na heshima ya kibinadamu, ambapo Mwanamke na Mwanaume wameumbwa kutoka nafsi moja. Wanawake wana usawa na wanaume katika kupata elimu, uhuru wa kifedha, na zawadi ya akhera kulingana na matendo mema. Uislamu unathamini sana nafasi ya wasichana katika familia na jamii, hasa katika uba mama na kulea amani na utulivu, na kuziweka nafasi hizi kuwa juu na za heshima.
-
Ushinikizi wa Taliban kubadilisha Shule za Kidini kuwa njia pekee ya Elimu kwa Wasichana
Mama mmoja mkoani Nimruz alisema baada ya Mullah kumtaka, alilazimika kuwatoa mabinti zake shuleni na kuwapanga kwenye madarasa ya dini, lakini msaada alioahidiwa haukuwahi kufika. Mama mwingine alisema alipewa masharti: “Ama upeleke binti zako kwenye madarasa ya dini, au hupati chochote.”
-
Ibn Sirin ni Nani? - Mtazamo wa Kiislamu kuhusu Mtu Huyu na Sifa Zake
Abu Bakr Muhammad bin Sirin - Maarufu kama "Ibn Sirin" hakuwahi kuzungumza na mama yake kwa sauti ya juu, na kila alipomwambia jambo, ilikuwa kana kwamba anataka kulinong’oneza kwa siri.
-
Kuzaliwa kwa mtoto wa Kiajemi (Muiran) wa Arubaini katika Hospitali ya Zainul-Abidina (a.s) Karbala
Mama mjamzito kutoka mkoa wa Yazd, ambaye alihudhuria matembezi ya Arubaini 1446, amejifungua mtoto wake katika Hospitali ya Hadrat Sayyid Zaynul Aabidin (a.s) mjini Karbala.
-
Picha ya Kusikitisha Gaza; Mama Aliyejeruhiwa na Mtoto Akiwa na Kifuko cha Damu Mkononi!
Picha hii ya kusikitisha kutoka Gaza inaonyesha mama mmoja aliyejeruhiwa na mtoto wake ambaye amebeba kifuko cha damu mkononi. Hii ni picha ya maumivu na mateso makubwa yanayowakumba watu wasio na hatia, hasa watoto na familia zao katika maeneo ya vita.
-
Kuchapishwa kwa kitabu cha kwanza kuhusu Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah kwa ajili ya Watoto
Kitabu cha kwanza cha Watoto na Vijana kuhusu Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, kilichoitwa "Baba Hadi" kilichoandikwa na: Elaheh Akherati, kimechapishwa na sasa kinapatikana kwa wale wanaotaka.