Mantiki
-
Araghchi: Tatizo letu na Marekani si upatanishi, bali ni msimamo usio na mantiki wa Washington
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Iran haina tatizo la kubadilishana ujumbe na Marekani, akisisitiza kuwa kikwazo kikuu ni msimamo usio na mantiki, madai yaliyopitiliza na tabia ya kutawala ya Washington.
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Vyombo vya Majini Vinavyotumika Dhidi ya Wananchi wa Iran Haviwezi Kupita Katika Bahari ya Hormuz
“Udhibiti wa Bahari ya Hormuz uko mikononi mwa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Vifaa vinavyotumika dhidi ya wananchi wa Iran haviwezi kupita katika Bahari ya Hormuz.”
-
Iran Yasitisha Mazungumzo ya Nyuklia na Marekani Kufuatia Mashambulizi ya Israel Lebanon
Iran imesitisha safari ya ujumbe wake kwenda Geneva kwa ajili ya duru ya kwanza ya mazungumzo ya nyuklia na Marekani, ikieleza kuwa kuendelea kwa mashambulizi ya Israel kusini mwa Lebanon kumekiuka mazingira ya kusitisha mapigano. Kufuatia msimamo huo, Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, naye ameripotiwa kusitisha safari yake, huku hali hiyo ikiweka mashaka juu ya kuanza kwa mazungumzo yaliyokuwa yanatarajiwa kuwa hatua ya kwanza ya utekelezaji wa makubaliano ya hivi karibuni kati ya Tehran na Washington.
-
Malezi ya kijinsia kwa watoto: Tuseme nini na kuanzia umri gani?
Moja ya makosa ya kawaida yanayofanywa na wazazi ni kuchelewesha malezi ya kijinsia hadi “baadaye”, au kuyapunguza tu kuwa onyo kuhusu dhambi. Ilhali katika mtazamo wa Kiislamu, malezi ya kijinsia huanza tangu utotoni na huendelea hadi ndoa. Uislamu haukubali urubani usio na mantiki wa mtindo wa Kikristo, wala haukubali uhuru wa kijinsia usio na mipaka; bali unatoa mtazamo wa kati (wa wastani), wenye maadili ya kiibada na unaochangia ukuaji wa afya ya mtu.