"Katika ugeni hakuna hofu ya upweke; marafiki wapendwa wako wengi zaidi upande ule mwingine.”
Kwa maana kwamba: Shahidi anapovuka kutoka dunia hii, haogopi kutengwa, kwa sababu anatambua wazi kuwa upande wa pili kuna kundi kubwa la wacha-Mungu, wakweli, watu wema, na mashahidi waliomtangulia, walio tayari kumpokea katika safu yao.
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan alisema: "Shambulio la Israel dhidi ya Qatar lilifanyika kwa ridhaa ya Amerika, na Waislamu wanapaswa kuelewa ukweli huu na kutofautisha kati ya "Marafiki bandia na maadui wa kweli."