Ripoti rasmi za utawala wa Kizayuni zinaonyesha kuongezeka kwa kiwango kisicho cha kawaida cha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanajeshi. Kwa mujibu wa Tamar Shimony, Naibu Mkuu wa Idara ya Urejeshaji (Rehabilitation) katika Wizara ya Vita ya Israel, zaidi ya wanajeshi 85,000 wanakabiliwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia.
Wanajeshi wa zamani wa Afghanistan ambao walikuwa wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani, baada ya miaka mingi ya huduma, sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa wakiwa nchini Marekani.
"Mara tu matatizo ya Waislamu yanapoanza, basi hilo huwa ni matokeo ya kugeuka mbali na Qur’an na mwongozo wa Mtume. Suluhisho la kweli ni kurejesha uhusiano wa dhati na Qur’an na Sunnah ya Mtume (s.a.w.w).”