Hujjatul-Islam Mohammad Taqi Vakilpour amesema Iran ipo mstari wa mbele wa mhimili wa muqawama pamoja na Lebanon, Palestina na Yemen, huku akisisitiza umuhimu wa umoja wa kitaifa, kuimarisha mfumo wa Kiislamu na kukabiliana na juhudi za maadui za kueneza migawanyiko ndani ya jamii.
Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi, ameonya kuwa Iran haitakaa kimya mbele ya kuendelea kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, akilaani mauaji ya raia na ukimya wa baadhi ya mataifa ya Magharibi.
Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.