Mikoa
-
Urusi Inapanga Kuanzisha Kambi 9 za Kijeshi Katika Eneo la Kusini mwa Syria
Urusi, kwa lengo la kurejesha ushawishi wake wa kijeshi hadi mpaka wa kusini mwa Syria, inapanga kuanzisha vituo 9 vipya vya kijeshi katika mikoa ya Quneitra na Daraa.
-
Mtandao wa Ujasusi wa Marekani na Israel Wavunjwa katika Mikoa Kadhaa ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mtandao huu wa waagizwaji wa uovu ulipangwa kutekeleza shughuli za kuhujumu usalama wa taifa katika nusu ya pili ya msimu wa vuli mwaka 1447H / (2025).
-
Maulid Kubwa Masjid Majmuuat - Temeke Mwisho Kufanyika Ijumaa Oktoba 17, 2025
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum amewahimiza Waumini wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani kuhudhuria kwa wingi, akisisitiza kuwa mwaka huu Maulid itakuwa na vionjo vya pekee, ikiwa ni kumbukumbu ya kumsifu na kufuata nyayo za Mtume Muhammad (s.a.w).
-
Hafla ya 4 ya Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Yaendelea Mubashara Kibaha – Pwani | Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum Mgeni Rasmi Katika Hafla Hii
Kauli mbiu ya mashindano haya ni: “Hakika Qur’an ni Muongozo,” ikisisitiza nafasi ya Qur’an katika kuleta maadili, amani, na maendeleo ya kiroho katika jamii.
-
Usafishaji Mkubwa wa Maficho ya ISIS katika Mikoa 4 ya Iraq
Kwa kushirikiana na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya Iraq, maficho 10 na mitaro 3 imepekuliwa katika Kirkuk, huku pango moja la mawe katika mkoa wa Diyala likiharibiwa.