Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum amewahimiza Waumini wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani kuhudhuria kwa wingi, akisisitiza kuwa mwaka huu Maulid itakuwa na vionjo vya pekee, ikiwa ni kumbukumbu ya kumsifu na kufuata nyayo za Mtume Muhammad (s.a.w).
Kauli mbiu ya mashindano haya ni:
“Hakika Qur’an ni Muongozo,” ikisisitiza nafasi ya Qur’an katika kuleta maadili, amani, na maendeleo ya kiroho katika jamii.
Kwa kushirikiana na Idara ya Kitaifa ya Ujasusi ya Iraq, maficho 10 na mitaro 3 imepekuliwa katika Kirkuk, huku pango moja la mawe katika mkoa wa Diyala likiharibiwa.