Misaada
-
Afisa wa Kijeshi wa Iraq: Kamwe Haitatokea kusahau msaada wa Iran
Rais wa Chuo cha Ulinzi wa Iran: “Tunafurahia sana kwamba maafisa wa Iraq wanasoma katika Chuo cha Uongozi na Makao Makuu ya Jeshi la Iran. Ingawa kuna uwezekano wa kusoma katika nchi nyingine, tunapendelea maafisa wetu wapate elimu yao hapa Iran, kwa kuwa tunajua wanapata mafunzo bora chini ya wakufunzi wenye kiwango cha juu cha kielimu na kitaaluma.”
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
Uislamu ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan amesema kuwa: Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ambao ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki, na mfano bora zaidi wa hayo ni mfumo wa haki wa Imam Ali (a.s) ambao utabaki kuwa kielelezo cha uadilifu na usawa daima.
-
Italia na Hispania Zimetuma Manowari za Kivita kwa ajili ya Kulinda Msafara wa Meli za Sumuud
Kufuatia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (droni) dhidi ya msafara wa kimataifa wa Sumuud (Jina la Msafara), ambao unalenga kupeleka misaada ya kibinadamu kwa Gaza na ulikuwa ukisafiri katika maji ya kimataifa, Italia na Uhispania zimetuma meli zao za kivita ili kuhakikisha usalama wa msafara huo. Hatua hii imechukuliwa baada ya kulaaniwa kwa kiwango kikubwa kwa mashambulizi hayo dhidi ya meli zisizo za kijeshi, ambayo yamechukuliwa kuwa ni uvunjaji wa sheria za kimataifa.
-
Ayatollah Sistani Aitaka Dunia ya Kiislamu Kuchukua Hatua Haraka Kuhusu Njaa Inayoikumba Gaza
Kauli ya Ayatollah Sistani inakuja wakati ambapo mashirika ya misaada ya kibinadamu yanaonya kuwa njaa inasambaa kwa kasi kote Gaza, huku takwimu za Umoja wa Mataifa zikionesha kuwa karibu watu nusu milioni wanakumbwa na viwango vya juu vya njaa kali.
-
Mahusiano ya Kijamii ya Kituo cha Utamaduni cha Iran Nchini Tanzania - Dar-es-salaam
Kituo cha Utamaduni cha Iran kipo tayari kutoa Ushirikiano katika nyanja za Utamaduni na Elimu.
-
UNICEF: Maisha ya watoto milioni moja huko Gaza yako hatarini
Wakati huo huo hujuma zikiendelea na ugavi wa misaada kwa Gaza ukikatizwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto lilionya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika eneo hili na kutangaza kwamba maisha ya watoto wapatao milioni moja katika ukanda huu yako chini ya hatari na tishio kubwa.