Mtume
-
Rais wa Ufaransa awatetea waliomdhalilisha mtume Muhammad s.a.w
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema leo kuwa waandamanaji wanaopinga jarida la Charlie Hebdo katika nchi nyingine hawaelewi umuhimu inaouzingatia Ufaransa katika uhuru wa kujieleza.
-
Serikali ya Saudia Arabia inampango wa kubomoa nyumba alozaliwa
Eneo ilipo nyumba ambayo Mtume Muhammad (s.a.w) alizaliwa lipo hatarini kufutwa na kujengwa kasri la kifalme. Kazi hiyo ni sehemu ya mradi wa mabilioni ya Paundi kwa ajili ya ujenzi wa katika mji mtakatifu wa Makka ambao umepelekea katika kubomolewa kwa majengo mengi ya kihistoria ya kiislamu mpaka sasa.
-
Marekani na Washirika wake wanalengo la kuchochea tofauti kati ya waislamu nasi kupambana na Daesh
Kiongozi Muadhamu wa Jamhuri ya kiislamu ya Iran katika hafla ya sherehe za Eid Ghadir amesema kuwa Marekani na washirika wake hawapo kupambana na Magaidi wa Daesh bali kuchochea tofauti kati ya waislamu.
-
Siku ya Ghadir
Tukio la hija ya mwisho ya Mtume Muhammad s.a.w
Hijja hii ilihudhuruwa na maswahaba wengi sana, inasemekana kuwa idadi yao ilikuwa takriban watu laki moja na ishirini na nne elifu (124000), watu hawa katika siku ya jummamosi tarehe 24 mwezi wa Dhilqa’adah wakiwa sanjari na mtume Muhammad s.a.w waliongozana kuelekea katika mji mtukufu wa Makka kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya hijja.