Muislamu
-
Mazoezi ni Afya: Jamiat Al-Mustafa (s) Yaendeleza Michezo kwa Ajili ya Kuimarisha Afya ya Mwili na Akili
Kwa hakika, michezo na mazoezi haya yamekuwa kielelezo cha namna Uislamu unavyopenda mwili wenye nguvu, akili timamu, na mshikamano wa kijamii, ili kumsaidia Muislamu kuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake ya kidini, kijamii na kiulimwengu.
-
utolewa Kazi kwa Mwalimu Muislamu Ubelgiji Kwa Sababu ya “Ufundishaji wa Kifundamentalisti”
Mwalimu mmoja Muislamu nchini Ubelgiji ameondolewa kazini kutokana na kile ambacho mamlaka yalichoona kama ishara za ufundishaji wa kifundamentalisti.
-
Madrasa Hazrat Zainab (sa) | Dini na Afya: Dkt. Beshteri Azungumzia Umuhimu wa Lishe Sahihi kwa Muislamu
Dkt. Beshteri alieleza kuhusu adabu za kula chakula kulingana na mafundisho ya Imam Ja’far Sadiq (a.s), akitaja riwaya mbalimbali zinazoelekeza namna bora ya kula kwa mujibu wa maadili ya Kiislamu.
-
Sheikh Abdul Ghani | "Kila hatua katika Maisha ya Mwislamu inapaswa kuzingatia lengo kuu, na Lengo kuu sio njaa wala mkate"
Uuzaji wa Heshima kwa Mabepari: Sheikh alilaani wazi wale wanaoisaliti Palestina na kuipendelea dunia kwa kubadilisha heshima yao kwa manufaa ya watawala dhalimu.
-
Hatua Tano na Muhimu Kabla ya Kuingia Katika Mjadala au Kabla ya Kufanya Mjadala na Mtu yeyote | Bila hatua hizi huo sio Mjadala Bali ni Kupoteza Muda
Kabla hujafanya mjadala wowote na mtu yeyote, unapaswa kuzingatia nukta za kimjadala na muhimu ili uepuke mapema kupoteza muda wako kwa kuingia katika mjadala usiokuwa na matunda yoyote.
-
Sheikh Reihan Yasin:
Ramadhani ni Fursa ya Wakati
"Kila Muislamu anapaswa kuamini kuwa: Kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni fursa ya wakati. Hivi ndivyo Mtume Muhammad (s.a.w.w) na Ahlul-Bayt wa Mtume (a.s) pamoja na Masahaba wema walivyokuwa wakiamini, kwao Ramadhani haukuwa ni Mwezi kama Miezi mingine".