Waziri wa Ulinzi wa Pakistan alisema: "Shambulio la Israel dhidi ya Qatar lilifanyika kwa ridhaa ya Amerika, na Waislamu wanapaswa kuelewa ukweli huu na kutofautisha kati ya "Marafiki bandia na maadui wa kweli."
Baada ya kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad mwezi Desemba 2024, jamii ya Waalawi wa Syria ilikumbwa na wimbi la vitisho vya kiusalama, kiuchumi na kisiasa.
Kama jibu kwa hali hiyo, viongozi wa kidini na kisiasa wa kundi hili walianzisha baraza mbalimbali kwa lengo la kutetea haki za Waalawi na kufasili upya nafasi yao ndani ya muundo wa kisiasa wa Syria ya baadaye.