Muungano
-
Upanuzi wa kimataifa wa Al-Qaeda barani Afrika / Kuanzia nchini Mali hadi Nigeria
Kikundi cha “Jamaat Nusrat al-Islam wal-Muslimin” (JNIM) - tawi la Al-Qaeda katika eneo la Sahel - kiliundwa kutokana na muungano wa makundi kadhaa ya ndani nchini Mali, na leo hii, kwa kuchanganya ukatili na mfumo wa utawala sambamba, kimegeuka kuwa miongoni mwa waigizaji wenye ushawishi mkubwa zaidi wa kijeshi katika eneo hilo.
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Osama bin Laden alikuwa zao la Amerika / Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuunda Muungano sawa na NATO
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan alisema: "Shambulio la Israel dhidi ya Qatar lilifanyika kwa ridhaa ya Amerika, na Waislamu wanapaswa kuelewa ukweli huu na kutofautisha kati ya "Marafiki bandia na maadui wa kweli."
-
Waalawi wa Syria baada ya kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad / Kuanzia kuwa pembezoni mwa siasa hadi kudai mfumo wa muungano (Federalism)
Baada ya kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad mwezi Desemba 2024, jamii ya Waalawi wa Syria ilikumbwa na wimbi la vitisho vya kiusalama, kiuchumi na kisiasa. Kama jibu kwa hali hiyo, viongozi wa kidini na kisiasa wa kundi hili walianzisha baraza mbalimbali kwa lengo la kutetea haki za Waalawi na kufasili upya nafasi yao ndani ya muundo wa kisiasa wa Syria ya baadaye.