Shambulizi la anga
-
Jeshi la Israel wafanya mashambulizi mapya Gaza baada ya siku ya mauaji makubwa
Jeshi la Israel limefanya mashambulizi ya anga mashariki mwa Khan Yunis na kuua na kuwajeruhi makumi ya raia. Vikosi vya uokoaji viliopoa miili ya mashahidi na kuwahamisha waliojeruhiwa, huku hospitali zikithibitisha vifo 28, wakiwemo watoto 17.
-
Jeshi la Israel ladaiwa kumuua “Muhammad Akram Arabiyeh” mwanachama wa Kikosi cha Rizwan cha Hezbollah
Kwa mujibu wa vyanzo vya Kizayuni, katika kuendeleza uvamizi wake ndani ya ardhi ya Lebanon na mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa muqawama, mwanachama wa Kikosi Maalumu cha Ridhwan cha Hezbollah ameuawa shahidi katika shambulizi la anga lililofanywa na Israel katika eneo la al-Qulay‘a, kusini mwa Lebanon.
-
Majibu ya kwanza ya Qatar kufuatia shambulizi la Israel dhidi ya Qatar: Uchunguzi unafanyika katika ngazi ya juu kabisa!!!
Qatar imelaani shambulizi la Israel dhidi ya Hamas mjini Doha.
-
Araghchi: Shambulizi la Israel kwa Wanaotafuta Msaada wa Chakula Gaza ni Uhalifu wa Vita wa Dhahiri
Watoto milioni 1 wako hatarini kufa kwa njaa Gaza huku Israel ikiendeleza mzingiro: UNRWA
-
Mmoja wa Maafisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon ameuawa Shahidi
Jana usiku utawala wa Kizayuni ulishambulia jengo la makazi kwa mashambulizi ya anga bila ya kutoa tahadhari ya awali.