Sheikh Naim Qassem
-
Sheikh Naim Qassem: Kujisalimisha si chaguo; Hezbollah ina haki ya kulipiza kisasi kwa shambulio la Dahiyeh
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.
-
Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon: “Muhammad Afif alikuwa sura yenye ushawishi mkubwa katika vyombo vya habari vya Muqawama”
Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon, katika hotuba yake ya kumbukumbu ya mwaka wa kuuawa shahidi kwa Muhammad Afif al-Nabulsi na wenzake, alikumbusha nafasi muhimu ya marehemu katika uwanja wa vyombo vya habari na harakati za Muqawama. Alimtaja kama mfano wa kalamu yenye kujitolea, fikra angavu na uwajibikaji katika kutetea haki na mapambano ya wananchi wa ukanda huo.
-
Sheikh Naeem Qassem: Sisi ni watoto wa Imam Hussein (a.s) na hatuoni chaguo isipokuwa kuishi kwa heshima
Katibu Mkuu wa Hizbullah alipozungumza kwa ajili ya Siku ya Shahidi alisema: hatutaachana na silaha inayoitwawezesha kujitetea. Tumeachwa kwa shambulio na tutajilinda wenyewe.
-
Marasimu adhimu ya “Siku ya Shahidi” yafanyika Beirut
Sheikh Naeem Qassem: “Siku ya Shahidi si tu kwa ajili ya kuwakumbuka mashahidi, bali pia ni heshima kwa familia zao na wote wanaounga mkono njia ya mapambano ya muqawama.”
-
Katibu Mkuu wa Hezbollah: Damu ya mashahidi wa Yemen imechanganyika na damu ya Wapalestina katika njia ya Quds (Yerusalemu)
Katibu Mkuu wa Hezbollah Lebanon katika ujumbe rasmi kwa kiongozi wa Ansarullah Yemen, pamoja na kutoa rambirambi kwa kifo cha Rais wa Baraza Kuu la Jeshi la nchi hiyo, alithamini kujitolea kwake katika njia ya Quds na kupambana na maadui wa umma wa Kiislamu, na pia alimtakia mafanikio mrithi wake.