Siku
-
Ratiba ya Hafla za Kuaga na Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu Yatangazwa
Ratiba rasmi ya hafla za kuaga, kuswaliwa na mazishi ya kiongozi shahidi wa Umma wa Kiislamu imetangazwa, huku shughuli hizo zikitarajiwa kufanyika katika miji ya Tehran, Qom na Mashhad.
-
Rais Pezeshkian: Ushirikiano wa Kimkakati kati ya Iran na Urusi Unaendelea Kupanuka
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ushirikiano wa kimkakati kati ya Tehran na Moscow unaendelea kuimarika na kupanuka, akisisitiza dhamira ya kuendeleza mahusiano hayo kwa manufaa ya mataifa yote mawili.
-
Ghalibaf Atoa Ujumbe Maalumu Katika Maadhimisho ya Siku 100 za Jihadi ya Taifa la Iran
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amelipongeza taifa la Iran kwa msimamo wake wa kujitolea na kujitolea kulinda nchi, akisema umoja wa wananchi uliwavunja moyo maadui na kuiwezesha Iran kushinda changamoto kubwa.
-
Dua ya Kwanza ya Siku ya Mubahala: Njia ya Kumtambua Ahlul-Bayt (a.s.)
Miongoni mwa amali za Siku ya Mubahala kuna dua mbili zinazosomwa baada ya swala. Dua ya kwanza, ambayo haijulikani sana, inahusishwa na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuongozwa kwenye maarifa ya Ahlul-Bayt (a.s.) na kubainisha nafasi yao ya kipekee katika Uislamu.
-
Mazungumzo ya ngazi ya pili yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani imeendelea Siku ya Jumanne huko Geneva, Uswisi
Raundi ya pili ya mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani imefanyika Siku ya Jumanne katika Ubalozi wa Oman uliopo mjini Geneva, Uswisi. Mazungumzo haya yanafanyika katika hali ambayo bado kuna ukosefu wa imani, unaotokana na kile kinachoelezwa kuwa ni misimamo na tabia zinazokinzana kutoka upande wa Washington—hali ambayo inaendelea kuwa moja ya changamoto kuu katika mchakato huu wa mazungumzo.
-
Maandamano Yatikisa Marekani, Minneapolis Kituo Kikuu cha Upinzani Dhidi ya ICE
Wimbi la maandamano linaendelea kuitikisa Marekani, huku jiji la Minneapolis likiwa miongoni mwa vituo vikuu vya upinzani dhidi ya operesheni za polisi wa uhamiaji (ICE). Maelfu ya raia wameingia mitaani wakipinga matumizi ya nguvu kupita kiasi, na maandamano yamesambaa hadi miji mingine kama Portland, Maine, San Francisco na Washington DC. Serikali iko chini ya shinikizo kubwa la ndani, huku wananchi wakidai haki, uwazi na kuheshimiwa kwa utu wa raia.
-
Sayyid Khamenei: Kiongozi Aliyesimama Kidete Dhidi ya Ubeberu wa Kimataifa
Baada ya hatua thabiti na za kishujaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya kambi za kijeshi za Israel na Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, dunia iliamka asubuhi ikiwa inazungumzia wasifu mpya wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei—kiongozi wa kiroho aliyeonesha ujasiri, busara na msimamo usiotetereka mbele ya madola ya kibeberu.
-
Mazungumzo kati ya Taliban na Pakistan mjini Istanbul yaingia siku ya tatu
Zabihullah Mujahid, msemaji wa Taliban, leo asubuhi (Jumatatu, tarehe 27 Oktoba 2025) amesema kuwa mazungumzo kati ya ujumbe wa Afghanistan na ule wa Pakistan yanaendelea mjini Istanbul, Uturuki, kwa siku ya tatu mfululizo.