Tablighi
-
Sheikh Ahmed Al-Aameli Afanya Mkutano na Shule ya Dini ya Ali Akbar Kuhusu Tableegh Bara la India
Sheikh Ahmed Al-Aameli alikutana na uongozi na walimu wa Shule ya Dini ya Ali Akbar kujadili njia za kuimarisha mitazamo ya kisayansi katika taasisi za kidini, changamoto za Tabligh katika bara la India, na mbinu za kuendeleza juhudi za malezi ya kiroho na elimu ya dini.
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Hakuna Mbinu Yenye Ufanisi Zaidi ya Tablighi ya Kienyeji (Ya Kawaida) / Umuhimu wa Kumfahamu Mhusika Unayemhubiria
Ayatollah al-‘Uzma Hussein Nouri Hamedani, mmoja wa Marjaa wakubwa wa Kishia, amesisitiza kuwa licha ya manufaa makubwa ya mbinu mpya za tablighi kama vile kutumia mitandao ya kijamii, kutengeneza video na programu za kuvutia, bado hakuna mbinu iliyo na athari pana na ya kudumu kama tablighi ya kitamaduni—ya uso kwa uso na kupitia mimbari.
-
Naibu wa Ofisi ya Tablighi ya Hawza ya Qom amesema kuwa:
“Utetezi Mtakatifu (Kujihami Kutakatifu - Sacred Defence) ni chuo cha malezi na hazina ya kitamaduni”
Hujjatul-Islam Rousta Azad amesema: Kongamano la “Muballighina Mujahid” likiambatana na kumbukumbu ya kuwatunukia mfano bora wa jihadi na tabligh, litafanyika siku ya Jumatano, tarehe 9 Mehr, kuanzia saa 3 asubuhi, kwa kuhudhuriwa na kundi muhimu la makamanda na mashahidi hai wa Vita vya Utetezi Mtakatifu, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Ghadir, Ofisi ya Tablighi ya Kiislamu.