Takwimu
-
Msikiti wa Haram ya Imam Reza (a.s) - Mashhad, Iran, Unashikilia Rekodi ya Dunia kwa kuwa na Eneo Kubwa Zaidi Kuliko Misikiti Yote Duniani
Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).
-
Kuimarika kwa nafasi ya Hamas katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi
Shirika la habari la Kipalestina Shehab limeandika kuwa, kwa mujibu wa takwimu za utafiti wa maoni ya wananchi uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Mitazamo ya Umma na Utafiti wa Kijamii, Hamas inaongoza kwa umaarufu katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.
-
Ripoti ya UNICEF, Sambamba na Siku ya Mtoto Duniani:
Gaza; Ardhi ya Mauaji Yasiyo ya Kawaida dhidi ya Watoto - Kila Dakika 17, Mtoto Huuwawa au Kupoteza Uwezo Fulani wa Mwili
Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
-
Mwaka mmoja tangu marufuku ya kusali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq(as); Sera iliyoratibiwa mahsusi kulenga Ibada za Kidini nchin Bahrain
Kwa mujibu wa wachambuzi, kulengwa kwa mimbari ya Sala ya Ijumaa si suala la ndani tu, bali ni ishara ya juhudi za serikali ya Bahrain kudumisha uhusiano wa karibu na Israel - hata kama ni kwa gharama ya kukandamiza sauti za kidini na za wananchi.
-
Watu Zaidi ya Milioni 21 Wamehudhuria katika Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Mwaka huu wa 1447 Hijria / 2025
Kulingana na taarifa ya Haram Tukufu ya Abasi, idadi ya mahujaji waliohudhuria maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) mwaka huu imefikia milioni 21,103,524.
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.