Takwimu
-
Ripoti ya UNICEF, Sambamba na Siku ya Mtoto Duniani:
Gaza; Ardhi ya Mauaji Yasiyo ya Kawaida dhidi ya Watoto - Kila Dakika 17, Mtoto Huuwawa au Kupoteza Uwezo Fulani wa Mwili
Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
-
Mwaka mmoja tangu marufuku ya kusali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq(as); Sera iliyoratibiwa mahsusi kulenga Ibada za Kidini nchin Bahrain
Kwa mujibu wa wachambuzi, kulengwa kwa mimbari ya Sala ya Ijumaa si suala la ndani tu, bali ni ishara ya juhudi za serikali ya Bahrain kudumisha uhusiano wa karibu na Israel - hata kama ni kwa gharama ya kukandamiza sauti za kidini na za wananchi.
-
Watu Zaidi ya Milioni 21 Wamehudhuria katika Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Mwaka huu wa 1447 Hijria / 2025
Kulingana na taarifa ya Haram Tukufu ya Abasi, idadi ya mahujaji waliohudhuria maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) mwaka huu imefikia milioni 21,103,524.
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.