Ufafanuzi
-
Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra
Aya hii tukufu inathibitisha kuwa sa‘yi baina ya Safa na Marwa ni sehemu muhimu ya ibada ya Hija na Umra, na kwamba hakuna dhambi wala lawama katika kuitekeleza. Kinyume chake, ni ibada iliyoidhinishwa na Qur’ani na kusisitizwa na Sunna ya Mtume ﷺ, na aya imekuja mahsusi kuondoa shaka na uzito uliokuwepo katika nyoyo za watu kuhusu ibada hii.
-
Uingereza iko mbioni kupitisha ufafanuzi rasmi wa “chuki dhidi ya Waislamu”
Kwa mujibu wa mtandao wa BBC, ufafanuzi huo umeandaliwa na Kikosi Kazi cha Islamophobia/Chuki dhidi ya Waislamu, na tayari umewasilishwa serikalini, huku sasa ukiwekwa katika mchakato wa mashauriano na wadau mbalimbali. Serikali ya Uingereza iliunda kikosi kazi hicho mwezi Februari mwaka huu, na pendekezo lake la mwisho liliwasilishwa mwezi Oktoba.
-
Waraka wa “Siri Iliyo Hifadhiwa” ni nini?
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika ubora na thawabu ya kumswalia Bibi Fatimah Zahra (a.s) amesema: “Ewe Fatimah! Yeyote atakayekuswalia na kukutumia salamu, Mwenyezi Mungu atamsamehe na popote nitakapokuwa katika Pepo atamuunganisha nami.”
-
Ayatollah Sheikh Jawadi Amuli Atembelea Makao ya Maimamu wa Ahlul-Bayt (as) Samarra, Akaribishwa kwa Heshima Kubwa
Katika heshima ya ziara hii tukufu, Haram ilifanya hafla maalum ya kumuenzi Sheikh Jawadi Al-A'muli, sambamba na kuzinduliwa kwa kitabu chake kipya chenye kichwa: Sharh Ziyarat Al-Jami'a Al-Kabira