Ukoloni
-
Ayatullah Ramezani: Yesu (a.s) ndiye Mwokozi wa Binadamu / Amani ya kweli haiwezekani bila haki
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlulbayt (a.s) akizungumzia hali ya sasa ya dunia: Ameyasema kwamba jamii ya binadamu leo inakabiliwa na umasikini, ubaguzi, ukosefu wa haki, ujinga, upuuzi na ukoloni wa kihisia. Masuala haya yamezua wasiwasi mkubwa. Aidha, tabia ya ukatili imeibuka katika baadhi ya jamii, na matukio ya uvunjaji wa haki, mauaji na vurugu yameenea.
-
Jeshi la Iran Lathibitisha kuendelea kutoa Msaada wa Kimkakati kwa wana Harakati za Uhuru za kuyakomboa Mataifa yao dhidi ya Ukoloni na Ukandamizaji
Hatua hii ya Iran inaashiria msimamo wake thabiti katika kuhimiza uhuru na kuunga mkono harakati za kupinga ukandamizaji wa kigeni na ukoloni duniani kote.
-
Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"
Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.