Ukoloni
-
Jeshi la Iran Lathibitisha kuendelea kutoa Msaada wa Kimkakati kwa wana Harakati za Uhuru za kuyakomboa Mataifa yao dhidi ya Ukoloni na Ukandamizaji
Hatua hii ya Iran inaashiria msimamo wake thabiti katika kuhimiza uhuru na kuunga mkono harakati za kupinga ukandamizaji wa kigeni na ukoloni duniani kote.
-
Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"
Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.
-
Katika Siku ya Uhuru wa Afrika; Tuzo ya "Kwame Tour" ya Kuheshimu Mapambano ya Mataifa Dhidi ya Ukoloni imetolewa kwa ajili ya Shahidi Yahya Sinwar
Katika sherehe zilizofanyika kuadhimisha "Siku ya Uhuru wa Afrika," Tuzo ya Mwaka ya "Kwame Tour" ya 2025 ilitolewa kwa Yahya Sinwar, kiongozi mtakatifu wa Palestina aliyekuwa shahidi. Tuzo hii ilitolewa kwa kuenzi mchango wake katika kuongoza upinzani wa Palestina na kulinda haki za taifa la Palestina dhidi ya ukoloni wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Wawakilishi wa Harakati ya Hamas walikubali tuzo hiyo.